DUDE:Mastaa Wengi Wana Ngoma
Mwigizaji na muongozaji wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao.
Akizungumza na GPL, Dude alisema kuwa mastaa wazima ni wa kuhesabika na kutaja sababu kubwa kuwa ni kubadilishana na kuibiana wapenzi bila kuwa na woga .
“Utakuta Mbongo Fleva ana mtu kwenye Bongo Muvi na Mbongo Muvi ana mtu kwenye dansi au kwa mamis au hata wacheza mpira, ukitaka kuujua ukweli tangaza dau...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMASTAA WENGI WANA NGOMA - DUDE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIusiWB3g2*rA9A-kf-4nIYeBJtKP6s*yM6pmtCp8nhHCLKgtrJgUuBR3-5I0u-*o1l0Ywhlnl7uoJhps*00HI9E/1.jpg)
MASTAA: WENGI TUTAKUFA NA NGOMA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZm7n59oSA-GAm0wuYVnAIgsdEHkE4uxwuGHrO028zevfbZqKPwP*buwZSHuIh-kz4rmIOcqEgASPOvQMMANHan/mastaa.jpg?width=600)
MASTAA WAMBWATUKIA DUDE
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7kDhSvujoayy6T3IMPYr7fyk9aRZpwZUMin3edA0bQwl73jwyOP7Q4CvbGTd8Z7L5stuUHJROoMtSoz4Z59Q8i-/DUDE.jpg)
NDINGA LA DUDE NGOMA NZITO!
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Vijimambo: Pacha Wa Dude Awachanganya Wengi!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu Kulwa Kikumba ‘Dude’ usiku wa jana alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni akiwa na mwanamama aliemtambulisha kama pacha wake.
“Huyu ndiye pacha wangu...”-Dude aliandika chini ya picha hiyo na hapo ndipo mashabiki wakaanza kujiongeza.
Wapo waliosema inawezekana kweli huyu akawa ndio DOTO wake kwani Dude yeye ni KULWA, wengine walijitokeza ka kupinga hoja hii kwa kusema mbona hawafanani ha taka kwa muonekano wanaonekana kutofautiana sana ki umri, kwani...
10 years ago
Bongo Movies06 Mar
Vijimbambo: Pacha Wa Dude Awachanganya Wengi!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu Kulwa Kikumba ‘Dude’ usiku wa jana alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni akiwa na mwanamama aliemtambulisha kama pacha wake.
“Huyu ndiye pacha wangu...”-Dude aliandika chini ya picha hiyo na hapo ndipo mashabiki wakaanza kujiongeza.
Wapo waliosema inawezekana kweli huyu akawa ndio DOTO wake kwani Dude yeye ni KULWA, wengine walijitokeza ka kupinga hoja hii kwa kusema mbona hawafanani ha taka kwa muonekano wanaonekana kutofautiana sana ki umri, kwani...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dVfU-IS-sxaEnhDiiM17JrFXAiNyvL7XfO2GYf1Z5AMD2csRyKgdqPbu68VKg1m4es*8aekGld1K3qvGC94vv*f/Dude.gif?width=650)
DUDE, ESTER WALAZIMISHWA KUPIMA NGOMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BEN-POL-1.jpg?width=650)
MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA