NDINGA LA DUDE NGOMA NZITO!
![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7kDhSvujoayy6T3IMPYr7fyk9aRZpwZUMin3edA0bQwl73jwyOP7Q4CvbGTd8Z7L5stuUHJROoMtSoz4Z59Q8i-/DUDE.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata ngoma nzito! Lile ndinga aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambalo lilidaiwa kutumika kwa ujambazi juzikati, bado lina ugumu wa kuachiwa kutokana na watuhumiwa walioka matwa nalo kuhusishwa na makosa ya mauaji. Gari ndogo aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka jeshi la polisi ambacho kiliomba hifadhi ya jina,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzrK7c*O0R86nmmaxEm8Usau0ez0LlMUIgjVB8VtfF4tXpWfxg5jdvSlamgFjx8KP6Q8PniERIZZJv7ATyzt3AWq/15.jpg?width=650)
BARNABA, SHILOLE NGOMA DROO AVUTA NDINGA YA MIL.25
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
CHADEMA ngoma nzito
MAKAO Makuu ya Jeshi la Polisi nchini jana yaligeuka uwanja wa mapambano kati ya askari na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), waliomfuata Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, aliyekwenda...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Ndumbaro ngoma nzito
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dVfU-IS-sxaEnhDiiM17JrFXAiNyvL7XfO2GYf1Z5AMD2csRyKgdqPbu68VKg1m4es*8aekGld1K3qvGC94vv*f/Dude.gif?width=650)
DUDE, ESTER WALAZIMISHWA KUPIMA NGOMA
10 years ago
GPLMASTAA WENGI WANA NGOMA - DUDE
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
DUDE:Mastaa Wengi Wana Ngoma
Mwigizaji na muongozaji wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na mbaya zaidi wanaambukizana wao kwa wao.
Akizungumza na GPL, Dude alisema kuwa mastaa wazima ni wa kuhesabika na kutaja sababu kubwa kuwa ni kubadilishana na kuibiana wapenzi bila kuwa na woga .
“Utakuta Mbongo Fleva ana mtu kwenye Bongo Muvi na Mbongo Muvi ana mtu kwenye dansi au kwa mamis au hata wacheza mpira, ukitaka kuujua ukweli tangaza dau...
11 years ago
Habarileo19 Jun
Usaili Uhamiaji ngoma nzito
MCHAKATO wa usaili kwa ajili ya kujaza nafasi za Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji zinazohitajika, unaendelea licha ya waombaji 4,834 kuchujwa katika awamu ya kwanza. Kati ya waombaji 6,116 waliofanyiwa usaili hivi karibuni jijini Dar es Salaam, waombaji 1,281 ndiyo wamebaki wakisubiri duru ya mwisho ya usaili, wabaki 70 watakaojaza nafasi hizo.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Bunge la Katiba ngoma nzito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CgwvKmsfinqtQNfJHXUmvjZ6l20FQAQWNKTW8-6PULcSl5NQhRpp*AWK93bRNfT0R4AMJbZygfYDmuiuITZr5n3KUEbC6vYD/lowasa.gif?width=650)
CCM, LOWASSA NGOMA NZITO