Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dude: Mwanaume achagui kazi

dude-534Na George Kayala

MWIGIZAJI, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amewataka wanaume kutochagua cha kufanya ili wapate kipato kitakachowawezesha kuendesha familia zao bila usumbufu.

“Nilifanikiwa kuiona filamu ya ‘Yote Njaa’ ina somo kwa wanaume wanaochagua kazi wakati kuna kazi nyingi za kujishughulisha hivyo hakuna sababu ya kuchagua kazi,” alisema Dude

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE

Na Gladness Mallya
HALI ya uchumi ya mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ imemkwamisha mwigizaji huyo ashindwe kurekodi tamthiliya yake. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na paparazi wetu, Dude alikiri kuwa uchumi umemkalia vibaya ambapo aliruhusiwa kupewa muda wa hewani katika Runinga ya East Africa lakini akashindwa kushuti kutokana na majukumu ya kifamilia kumuandama. “Daa we acha tu, mwezi wa...

 

11 years ago

GPL

DUDE

Stori: Gladness Mallya
Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza sababu ya baadhi ya wasanii kuutenga msiba Saidi Ngamba ‘Mzee Small’ akidai kuwa wengi waliona aibu kutokana na walivyomtenga alipokuwa akiumwa. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Dude alisema: “Wasanii wengi tumeona aibu kuja hata kwenye maandalizi kutokana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude Alaumu Viwango 0

Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango  na kusema  anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake  mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.

Dude alisema wasanii wengi  wa filamu  nchini  wana vipaji lakini  wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.

Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi  ambayo hayaendani na  hadithi  yenyewe...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WAMBWATUKIA DUDE

Stori: Gladness Mallya
WASANII wa kike wanaotamba kwenye filamu za Kibongo, hivi karibuni wamembwatukia staa mwenzao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na kuipinga kauli yake kwamba mastaa wengi wa kike wametokea kwenye uchangudoa na kuvamia tasnia hiyo, shuka na mistari uipate habari hii. Kulwa Kikumba ‘Dude’. Wakizungumza na Risasi Jumamosi, mastaa hao wamemtaka Dude kuacha tabia ya kuropoka kwani kauli yake...

 

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

10 years ago

GPL

NDINGA LA DUDE NGOMA NZITO!

Stori: Mayasa Mariwata ngoma nzito! Lile ndinga aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambalo lilidaiwa kutumika kwa ujambazi juzikati, bado lina ugumu wa kuachiwa kutokana na watuhumiwa walioka matwa nalo kuhusishwa na makosa ya mauaji. Gari ndogo aina ya Toyota Vitz la mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka jeshi la polisi ambacho kiliomba hifadhi ya jina,...

 

11 years ago

GPL

DUDE NAYE ALILIA UBUNGE!

Msanii wa maigizo na filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Na Gladness Mallya
WIMBI la wasanii kuingia kwenye siasa limeendelea kushika kasi ambapo awamu hii msanii wa maigizo na filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015. ‘Akistorisha’ na paparazi wetu, Dude alisema kutokana na sanaa kutotoa masilahi ipasavyo, ameamua kuingia kwenye...

 

11 years ago

GPL

MZEE DUDE AFARIKI DUNIA

Mzee Dude enzi za uhai wake. MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!

MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.

Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.

“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani