Dude: Mwanaume achagui kazi
Na George Kayala
MWIGIZAJI, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amewataka wanaume kutochagua cha kufanya ili wapate kipato kitakachowawezesha kuendesha familia zao bila usumbufu.
“Nilifanikiwa kuiona filamu ya ‘Yote Njaa’ ina somo kwa wanaume wanaochagua kazi wakati kuna kazi nyingi za kujishughulisha hivyo hakuna sababu ya kuchagua kazi,” alisema Dude
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0MTn6eAg9vaoNxw2vPXsBfaG3GR5WtDqb7df2ZdpLx5o3fWIhGbGn2v1Bt0h9w64eAsJXYh28fV1057iP3qTGA/dude.jpg?width=650)
UKATA WAKWAMISHA KAZI ZA DUDE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2MYEJXe1yARBywn3BlfZIPG9UuEHEbrCaEASQ52tm2hJINX2but0rw6Bl18TSuaKNIyVYXUT59tj9EWFHdDIiH/DUDE.jpg)
DUDE
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Dude Alaumu Viwango 0
Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango na kusema anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.
Dude alisema wasanii wengi wa filamu nchini wana vipaji lakini wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.
Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi ambayo hayaendani na hadithi yenyewe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZm7n59oSA-GAm0wuYVnAIgsdEHkE4uxwuGHrO028zevfbZqKPwP*buwZSHuIh-kz4rmIOcqEgASPOvQMMANHan/mastaa.jpg?width=600)
MASTAA WAMBWATUKIA DUDE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7kDhSvujoayy6T3IMPYr7fyk9aRZpwZUMin3edA0bQwl73jwyOP7Q4CvbGTd8Z7L5stuUHJROoMtSoz4Z59Q8i-/DUDE.jpg)
NDINGA LA DUDE NGOMA NZITO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/U7YWT3FNhpzqOFcApZJeHKjCCFUYhbT6WQ5W2wXS74uwSVAhFgC7lwNmlNGVLz78ERMdTNh5fUBHgyg9A8ym6rKo63ICUay0/dude.jpg?width=650)
DUDE NAYE ALILIA UBUNGE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE DUDE AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!
MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.
Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.
“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...