Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo Nyuklia Iran yaleta matumaini

Ikulu ya Marekani imesema kuwa mazungumzo ya Viena kuhusu makubaliano ya Nyuklia ya Iran,ymaefikia katika hatua nzuri

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaafikiwa

Mataifa sita makubwa duniani wamefikia makubalino ya muundo wa mazungumzo ya kina kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Marekani kuafikiana na Iran

Obama ana uhakika kuwa Marekani itaafikia makubaliano ya mwisho na Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia mwishoni mwa mwezi Juni.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YAONDOA MISAMAHA YA NYUKLIA YA IRAN

Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya IranBaada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.Pamoja na kuwa Marekani ilikuwa haina budi ila kuzingatia misamaha  inayohusu ushirikiano wa nyuklia na Iran lakini sasa imefuta misamaha hiyo.Kuhusiana na nukta hiyo, Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yakubaliana na mataifa 6 makubwa

Hatimaye makubaliano ya kihistoria yametangazwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mataifa 6 makubwa duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatima ya mpango wa nyuklia wa Iran leo

Mazungumzo kuhusu mpango tata wa Iran wa nyuklia yameendelea nchini Uswisi na kuhudhuriwa na nchi sita

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyuklia:Iran yaapa kutekeleza makubaliano

Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema nchi yake itatekeleza wajibu wake kikamilifu kuhusiana na muafaka wa nyuklia ulioafikiwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaanza kutekeleza mkataba wa nyuklia

Iran imeanza kutekeleza vipengee vya mkataba wa kufuta mradi wake wa nyuklia iliyokubaliana na mataifa ya makubwa duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yapinga mkataba wa nyuklia Iran

Makubaliano ya nyuklia Iran yatasababisha nchi zingine katika eneo hilo la ghuba kuanza kurutubisha madini ya atomiki

 

10 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yafikiwa

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wakisalimiana kabla ya kuanza kwa kikao cha mwisho kilichozaa matunda leo mjini Vienna nchini Austria.IRAN na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano muhimu leo mjini Vienna , kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuweza kuondolewa vikwazo ilivyoekewa na mataifa ya magharibi Makubaliano hayo yamekuja katika siku ya 18 za mbio katika mazungumzo kati ya Iran na kundi la mataifa matano lijulikanalo kama P5 +1, mataifa matano ambayo ni Marekani , Urussi , China , Uingereza, Ufaransa pamoja na Ujerumani , mjini Vienna.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani