Mbatia aonyesha wasiwasi juu ya sera mpya ya elimu
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Zanzibar, Musa Kombo Musa (kulia), akimkaribisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia (katikati), ili azungumze na wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitoa tamko hilo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosene Nyambabe.
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Taifa, James Mbatia (kulia), akionesha kitabu cha Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Mratibu wa Elimu Kigamboni; Sera mpya ya elimu yahitaji maandalizi kwanza
Kaimu Afisa Elimu Manispaa ya Temeke, Angelina Ngasazwa akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi madawati 50 na majengo mawili yaliyokarabatiwa na umoja wa jamii ya watu kutoka India Bengali waliopo hapa Tanzania, BANGO SANGHO katika shule ya msingi Kibugumo iliyopo Kigamboni jijini Dar hivi karibuni.
Na modewji blog team
Sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya mwaka 2014, iliyozinduliwa na Rais Dk. Jakaya Kikwete, Februari 13 mwaka huu, wadau mbalimbali wameanza kuonyesha wasiwasi wao juu...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania: uzuri na ubaya wake
9 years ago
Vijimambo19 Sep
SERA YA LOWASSA ELIMU YA JUU BURE ‪#‎HAIWEZEKANI‬ KWA SASA
![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-0/s526x395/12038345_611681675636375_2700435521837011316_n.jpg?oh=551b0a75a88c1b11dd091f93a19e82c8&oe=56A1A2B5&__gda__=1449801116_86d06f5e820c2afd18d8c1a6f4c9bc6c)
HOJA ya UKAWA: ELIMU Bure mpaka chuo kikuu! Tanzania ina Vyuo vikuu 54. Tusidanganyike kama Watoto wadogo haiwezekani hata kidogo!!TAFAKARI: tutathmini tu watu wa Shahada ya kwanza! Mwaka 2014/2015 TCU inatarajia kudahili wanafunzi 48, 000.Kwa mwanafunzi mmoja chuo kikuu fani ya Sayansi ya asili (Natural Science) kwa mwaka mmoja anahitaji kiasi kisichopungua Tshs 5,500, 000 (tuition fees, stationary, meal and accommodation, field, Equipments n. k).
Kwa mwaka huu 2014/2015 TCU kwa sayansi...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania; uzuri na ubaya wake- 2
10 years ago
Vijimambo14 Feb
10 years ago
Michuzi14 Feb
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio
Na Markus Mpangala
TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...
10 years ago
Habarileo05 Mar
Kilango atetea Sera mpya ya Elimu
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela amesema hashangazwi na baadhi ya watu wanatoa manung’uniko juu ya Sera mpya ya Elimu, iliyozinduliwa hivi karibuni, kwani imekuwa ni kawaida kwa jambo jema, linalofanywa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kulalamikiwa.
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Sera mpya ya elimu yazua maoni Tanzania