Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya wapitisha bajeti ya 2014/2015

BARAZA la Madiwani katika Halmashauiri ya jiji la Mbeya limesema kuwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi ya ushuru ya  majengo ni kidogo ikilinganishwa na hadhi ya jiji hilo pamoja wingi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

Cape Town wapitisha bajeti ya Sh12.2bil kumuaga Mandela

Baraza la Jiji la Cape Town, limeidhinisha matumizi ya Rand72 milioni (Sh12.2 bilioni) kwa ajili ya mazishi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Madudu kwenye Bajeti 2014/2015

>Serikali imeendeleza usiri kuhusu gharama halisi za uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na gharama hizo kutowekwa wazi katika vitabu vyote vya makadirio ya matumizi kwa mwaka wa fedha 2014/15.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bajeti 2014/2015 yauma na kupuliza!

unnamed (33)

Mheshimiwa Saada Mkuya Salum (Mb), akiwasili Bungeni Mjini Dodoma kuwasilisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi  kwa Mwaka 2014/15 leo. 

Na MOblog Team, Dodoma

BAJETI mpya ya mwaka wa fedha ya 2014/2015 iliyopitishwa leo na Bunge la Bajeti mjini Dodoma, imeendelea kuwa chungu kwa watumiaji wa vinywaji mbalimbali nchini.

Baada ya serikali kuendelea kupandisha ushuru wa bidhaa za  vinywaji baridi, vilevi pamoja na bidhaa za tumbaku kwa kila bidhaa...

 

11 years ago

Michuzi

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John P. Magufuli (Mb) akiwakisilisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi Bungeni.


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.


Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara  ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.


Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti 2014/2015 imebana, kila kona kilio

>Kinyume na matarajio ya wananchi walio wengi ya kupata unafuu katika kodi za bidhaa mbalimbali, Bajeti ya Serikali iliyosomwa jana imekuwa ya maumivu kwao ikipendekeza wakamuliwe zaidi lakini ikaja na mikakati ya kudhibiti misamaha ya kodi na kupunguza matumizi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri wa Fedha: Bajeti ya mwaka 2014/2015 ni Sh19.6 trilioni

Serikali imetoa mwelekeo wa Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani