Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti 2014/2015 imebana, kila kona kilio

>Kinyume na matarajio ya wananchi walio wengi ya kupata unafuu katika kodi za bidhaa mbalimbali, Bajeti ya Serikali iliyosomwa jana imekuwa ya maumivu kwao ikipendekeza wakamuliwe zaidi lakini ikaja na mikakati ya kudhibiti misamaha ya kodi na kupunguza matumizi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Vumbi kila kona ligi kii 2015/2016

Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) unatarajia kuanza mwezi ujao, ukitanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii baina ya Yanga na Azam utakaofungua pazia la ligi hiyo, Agosti 22.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

9 years ago

Dewji Blog

Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!

DSC_1426

Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa  usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil

>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya wapitisha bajeti ya 2014/2015

BARAZA la Madiwani katika Halmashauiri ya jiji la Mbeya limesema kuwa kiwango cha ukusanyaji wa mapato yatokanayo na kodi ya ushuru ya  majengo ni kidogo ikilinganishwa na hadhi ya jiji hilo pamoja wingi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Madudu kwenye Bajeti 2014/2015

>Serikali imeendeleza usiri kuhusu gharama halisi za uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na gharama hizo kutowekwa wazi katika vitabu vyote vya makadirio ya matumizi kwa mwaka wa fedha 2014/15.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bajeti 2014/2015 yauma na kupuliza!

unnamed (33)

Mheshimiwa Saada Mkuya Salum (Mb), akiwasili Bungeni Mjini Dodoma kuwasilisha mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi  kwa Mwaka 2014/15 leo. 

Na MOblog Team, Dodoma

BAJETI mpya ya mwaka wa fedha ya 2014/2015 iliyopitishwa leo na Bunge la Bajeti mjini Dodoma, imeendelea kuwa chungu kwa watumiaji wa vinywaji mbalimbali nchini.

Baada ya serikali kuendelea kupandisha ushuru wa bidhaa za  vinywaji baridi, vilevi pamoja na bidhaa za tumbaku kwa kila bidhaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani