Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vumbi kila kona ligi kii 2015/2016

Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) unatarajia kuanza mwezi ujao, ukitanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii baina ya Yanga na Azam utakaofungua pazia la ligi hiyo, Agosti 22.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti 2014/2015 imebana, kila kona kilio

>Kinyume na matarajio ya wananchi walio wengi ya kupata unafuu katika kodi za bidhaa mbalimbali, Bajeti ya Serikali iliyosomwa jana imekuwa ya maumivu kwao ikipendekeza wakamuliwe zaidi lakini ikaja na mikakati ya kudhibiti misamaha ya kodi na kupunguza matumizi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!

DSC_1426

Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa  usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU 16 KUSHIRIKI LIGI KUU MSIMU WA 2015/2016

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuanzia msimu wa 2015/2016 itakuwa na timu 16 badala ya 14 za sasa.
Mabadiliko hayo yamepitishwa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Mei 3 mwaka huu) jijini Dar es Salaam baada ya kupokea mapendekezo ya kuongeza idadi ya timu kutoka kwenye Kamati ya Mashindano.
Uamuzi huo umefanywa kwa lengo la kuongeza ushindani katika ligi hiyo, na kuwezesha wachezaji kupata mechi nyingi zaidi za mashindano. Kwa mabadiliko...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

9 years ago

StarTV

TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.

Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.

 

TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILION 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU(VPL)2015/2016

 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa akiongea na waandishi wa habari na wawakilishi wa vilabu mbalimbali wa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.9 kwa timu zote zinazoshiriki ligi hiyo leo vilivyokabidhiwa na mdhamini mkuu wa ligi kampuni ya Vodacom Tanzania,kushoto ni Meneja Masoko wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania,(TFF)Peter Simon. Vijana...

 

9 years ago

GPL

VODACOM YAMWAGA VIFAA VYENYE THAMANI YA MIL 4.9 KWA TIMU ZA LIGI KUU (VPL) 2015/2016

Baadhi ya waandishi wa vyombo vya habari mbalimbali nchini wakiwa kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.9 kwa timu zote zinazoshiriki ligi kuu ya mpira wa miguu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) leo vilivyokabidhiwa na mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya Vodacom Tanzania. Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akiongea na waandishi wa habari na...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kila kona

Hakuna shaka kwamba jina la Edward Lowassa, ndilo linalozungumzwa zaidi kwenye kampeni za urais zinazoendelea sasa hivi iwe kwa mazuri au mabaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani