Mbinu mbalimbali za viongozi wa Afrika kung’ang’ania madarakani
Viongozi wakuu wa nchi za Afrika wanapotaka kuendelea kukaa madarakani zaidi ya vipindi vilivyokubaliwa kikatiba, hutumia mbinu mbalimbali. Baadhi hutumia wananchi waanze kufanya ushawishi katiba zirekebishwe ili viongozi husika waendelee; wengine hutumia kisingizio cha sensa, kucheza na tafsiri ya katiba na baadhi hutumia mbinu ya kuchelewesha uandikishaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Siri ya CCM kung’ang’ania Serikali mbili kikatiba
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Msekwa atoboa siri ya CCM kung’ang’ania serikali mbili
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
China na Japan zang'ang'ania Afrika
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Afrika inatarajia kunufaika vipi na 'kung'ang'aniwa' huko?
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Viongozi Afrika wasibadili katiba kubaki madarakani
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...