Mbio za Dunia za Nyika March 28,2015
Wachezaji wa riadha wa Tanzania wameweka kambi ya mazoezi Kaskazini mwa Tanzania kushiriki mbio za Nyika za dunia China Machi 28.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Feb
Do you want to study abroad? check out EdExpo Tanzania, Spring 2015 - New Africa Hotel, 9th and 10th March, 2015
EdExpo Tanzania 2015, the International Higher Education Exhibition will be happening in Dar es Salaam, Tanzania 9th and 10th March, 2015 at the New Africa Hotel, Dar es Salaam.EdExpo Tanzania 2015 will be a platform where prospective students can get information on available degree courses, scholarships and student life at different universities from around the world. EdExpo Tanzania will also provide information about how to access and succeed in international higher...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Tanzania kupeleka wa5 mbio za Dunia China
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...
10 years ago
Bongo523 Nov
Picha: Lewis Hamilton anyakua ubingwa wa dunia wa mbio za magari za Formula One
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Pinda atajwa mbio za Urais 2015
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipigiwa magoti na Matrida Kitwanga (kulia) mke wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kulia) baada ya kuwasili nyumbani kwa Naibu Waziri huyo, eneo la Usagara, nje kidogo ya jiji la Mwanza ambako alikwenda kumpa pole kufuatia kifo cha mwanae Vedastus Kitwanga kilichotokea hivi karibuni. Katikati ni binti wa familia hiyo,Agnes Misoji Kitwanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Mwandishi wetu
Wakati makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Mtanzania10 Nov
Mbio za urais 2015 zaipasua UVCCM
![Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/Sadifa-Juma-Khamis1.jpg)
Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis
NA MWANDISHI WETU, Dodoma
MAKUNDI ya urais yanadaiwa kuugawa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), ambapo imeelezwa kuwa baraza kuu la umoja huo, limegoma kupitisha jina la Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuwa Naibu Kamanda wa umoja huo upande wa Tanzania Bara.
Hayo yamejitokeza katika vikao vya baraza kuu la umoja huo ambalo lilikuwa na vikao vyake mjini hapa kuanzia Novemba 7, 2014 na kuhitimishwa jana.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/81961000/jpg/_81961513_traditionalrulers.jpg)