Mbowe: Hatumtaki Zitto Ukawa
NA SITTA TUMMA, KYERWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hawatamruhusu Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Kauli ya Mbowe imetolewa siku chache baada ya Zitto kutangaza kuwa ACT ipo tayari kujiunga na Ukawa kama wanavyotaka Watanzania wakiwamo baadhi ya viongozi wa umoja huo.
Alitoa kauli hiyo jana wilayani Kyerwa alipozungumza na MTANZANIA.
Mbowe alisema kuwa hawamwamini tena Zitto...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe
11 years ago
Habarileo12 Dec
Akina Zitto wamwandama Mbowe
MGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema, sasa umehamishiwa rasmi Baraza Kuu kwenye mpasuko, baada ya watuhumiwa waliovuliwa madaraka na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho, kukata rufaa huko wakijua kuna wapinzani waliojitokeza hadharani dhidi ya CC na Mwenyekiti Freeman Mbowe.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mbowe kumburuza Zitto mahakamani
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), anakusudia kumburuza mahakamani, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kwa madai ya kumkashifu na kumchafulia jina. Kwa mujibu wa taarifa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mbowe: Siwezi kumzibia Zitto
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuijua historia ya mageuzi ya Mkoa huo ili kuepuka kuwalaumu viongozi wanaosimamia vyama hivyo...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Zitto: Nitamuunga mkono Mbowe
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2575006/highRes/911819/-/maxw/600/-/15f7ube/-/zitto.jpg)
Mtwara. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema atamuunga mkono Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Freeman Mbowe pale atakapowasilisha hoja yake bungeni kuhusu ufisadi wa zaidi ya Sh1 trilioni katika mradi...
11 years ago
Habarileo08 Jan
Zitto Kabwe aendelea kuwagaragaza akina Mbowe
WAFUASI wanaounga mkono uongozi wa Chadema chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe, jana waliondoka mahakamani kwa huzuni, baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuamuru Kamati Kuu ya Chadema kutojadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe.
11 years ago
Habarileo20 Dec
Zitto kuanza ziara kama akina Slaa, Mbowe
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), anatarajia kuanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma, itakayomfikisha katika majimbo mbalimbali ya uchaguzi mkoani Kigoma.
10 years ago
TheCitizen17 Apr
Ukawa is solid, says Mbowe