Mbowe: Utabiri wa baba wa Taifa umetimia
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), taifa, Freeman Mbowe, amesema kauli aliyoihubiri Baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere mara kadhaa juu ya kukosekana kwa mabadiliko ambayo watanzania waliyategemea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA



11 years ago
Michuzi19 Feb
wosia wa baba wa taifa
Hotuba ya Mwalimu Nyerere hoteli ya
Kilimanjaro jijini Dar es salaam June 14, 1994
10 years ago
GPL
WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-2
WIKI iliyopita tulianza kuwaletea hotuba ya Baba wa Taifa ambaye ni Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye aliitoa Mbeya kwenye kilele cha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Mei, 1995. Endelea kumsoma: “Unaweza ukawa na almasi mfukoni, akaja tapeli na kijiwe kimetengenezwa kama almasi akakuambia, ‘hebu tuone almasi yako. Bwana aa! Hii ya kwako siyo...
10 years ago
Vijimambo
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe AHUKUMIWA Jela Mwaka Mmoja.


10 years ago
GPL
WOSIA WA BABA WA TAIFA VIONGOZI TUNAOWATAKA-5
TUNAENDELEA kuwaletea hotuba ya Baba wa Taifa ambaye ni Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye aliitoa Mbeya kwenye kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sokoine Mei, 1995. Endelea kumsoma: Tukasema, ni nchi ambako kila mtu anafanya kazi. Kama ni mkulima, anafanya kazi; kama ni mfanyakazi, anafanya kazi. Lililokuwa la msingi na linalotawala ni mfanyakazi: Maslahi...
10 years ago
Vijimambo
MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MHESHIMIWA FREEMAN MBOWE ASHIRIKI KUFANYA USAFI JIMBONI HAI


10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA BUTIAMA LEO




5 years ago
Michuzi
"NAOMBA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUUNGANA KULIOMBEA TAIFA MWAKA HUU WA UCHAGUZI" MHE. MBOWE

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe Freeman Mbowe (Mb), ametoa ombi maalum kwa Mtume na Nabii Josephat Mwingira kuungana na Viongozi wengine wa kiroho kutoka dini zote kuliombea taifa katika mwaka huu wa Uchaguzi Mkuu.
Mhe. Mbowe ameyasema hayo kwenye ibada maalum ya kuombea na kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa baba wa Nabii na Mtume wa Kanisa la Huduma ya Efatha, Josephat Mwingira, Mzee Elias Mwingira, leo Jumamosi 22 Februari 2020, Kwa Mathias, Kibaha mkoani Pwani.
"Ombi langu maalum kwako...
10 years ago
Vijimambo
MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE


Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania