Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge Nassari kufunga ndoa kesho

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) anatarajia kufunga ndoa kesho, ilielezwa mjini hapa jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

MBUNGE JOSHUA NASARI WA ARUMERU MASHARIKI KUFUNGA NDOA KESHO

MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya Meru ambako Mh Nassari alianzia masuala ya Kiimani ikifuatiwa na Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.Kwa Mujibu wa Mh Nassari ,sherehe hizo zitakazoanza majira ya saa saba mchana watu wote wamealikwa wakiwemo ndugu, marafiki, Jamaa na wananchi jimbo la Arumeru...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr Paul Akyoo akifanya maombi kwa Bw Joshua Nassari ,Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki na Bi Anande Nnko wanaotarajia kufunga ndoa Jumamosi hii. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akimwimbia mchumba wake Bi Anande Nnko wakati wa sherehe ya Send off iliyofanyika nyumbani kwao na Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa amekumbatiana na Mchumba wake Bi Anande Nnko muda mfupi baada ya...

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA

Mbunge wa Jimbo la Arumeri Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali ya Helkopta aliyokuwa akiitumia kufanya ziara jimboni kwake hii leo.Habari kutoka Arum,eru zinasema kuwa Helkopta hiyo ilipoteza mwelekeo na kwenda kugonga mti na kunasa juu ya mti huo.

Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha. 
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE NASSARI ASHIRIKI MDAHALO ULIOANDALIWA MAKAO MAKUU YA BENKI YA DUNIA

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari (wa pili toka shoto) akiwa ni miongoni mwa wawasishaji wa mada katika mdahalo maalumu uliofanyika Makao Makuu ya Benki ya DuniaMbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Joshua Nassari (katikati) akichangia mada iliyosema "The Fundamental Role of Education and Skills ,addressing the Challenge of Youth Education " katika mdahalo maalumu uliofanyika Makao Makuu ya Benki ya Dunia ambapo Mh Nassari alikuwa ni miongoni mwa wawasilishaji wa mada....

 

11 years ago

GPL

TASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO

Maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakiweka pozi kwa ajili ya kuchukuliwa Taswira. Maharusi , Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa na wapambe wao katika pozi la kuchukua Taswira.…

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa katika picha ya pamoja na Mchungaji Jesse Jackson, Mwanaharakati wa siku nyingi wa Haki na Usawa.Kushoto ni Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani Afrika Kusini (Democratic Alliance) Mbali Ntuli.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na rais wa Nigeria Goodluck Jonathan .Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akiwa na Waziri mkuu wa Mauritius, Ramgoolam.Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari...

 

11 years ago

Michuzi

MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYO WAVUNJA MBAVU WAALIKWA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI

Video imepigwa  na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini..

 

10 years ago

CloudsFM

MENINA KUFUNGA NDOA?

Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.

Menina aliandika hivi Alhamdulilah finally soon to come Allah! Ibarik inshaallah gheir nakupenda saana #habib wangu......
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.

ramadhanijuma58 Umependeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani