MCHANGO WA SEKTA YA MADINI: TANZANIA IJAYO (2015-2035)
Na Prof Sospeter MuhongoKwa sasa mchango wa Sekta ya Madini kwa Pato la Taifa (Tanzania) kwa mwaka (GDP by sector) ni 3.5%. Tukitaka kulinganisha hali ya uchumi wetu na ule wa nchi nyingine tunalazimika kutumia takwimu zinazopatikana ko kote duniani - za IMF, World Bank (WB) na African Development Bank (AfDB).
Pato la mtu mmoja mmoja kwa mwaka (GDP per capita) nchini Bostwana ni US$ 7,120 (IMF, 2013). Michango ya ki-sekta kwa GDP ya Botswana ni kama ifuatavyo: Sekta ya Huduma (Services,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gTluFN2a4mg/XlLcbpRwB2I/AAAAAAALe8Y/-raTNItJdVU6J1qBiEv-MndVydSZuSxhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0667AA-1024x656.jpg)
MCHANGO WA SEKTA YA MADINI UMEZIDI KUIMARIKA NCHINI, SERIKALI TUNAFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA SEKTA HIYO- WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema mchango wa sekta ya madini umezidi kuimarika hapa nchini na kwamba Serikali kwa upande wake imeridhishwa na utendaji kazi wa sekta hiyo kupitia Wizara ya Madini.
Ameyasema hayo leo Februari 23,2020 wakati akizungumza na wawekezaji katika sekta ya madini hapa nchini mkutano uliofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere(JNICC), jinini Dar es Salaam leo.
Amefafanua kuwa sekta ya madini hapa nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BITEKO ATAKA MCHANGO SEKTA YA MADINI KUTAZAMWA
![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
“Niliwaambia wenzangu wizarani, lazima tuhame sasa kwenye mfumo wa kufurahia kuona mapato yameongezeka kutokana na ukusanyaji wa maduhuli twende kwenye mfumo wa kujiuliza je? Sekta ya madini imechangiaje ukuaji wa sekta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.jpg)
Biteko ataka mchango sekta ya madini kutazamwa vinginevyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s640/A.jpg)
Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Bitek.jpg)
10 years ago
MichuziSERIKALI YA TANZANIA YAITUNUKU HUAWEI TUZO YA UONGOZI BORA NA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
10 years ago
Vijimambo13 May
TEITI YAWANOA WANDISHI WA HABARI WA BIASHARA NA MADINI JUU YA UWAI SEKTA YA MADINI
![41](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/411.jpg)
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/12.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/411.jpg?width=650)
TEITI YAWANOA WANDISHI WA HABARI WA BIASHARA NA MADINI JUU YA UWAI SEKTA YA MADINI
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI