Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji Chess afumaniwa akiiba mbinu

Mchezaji Chess mtajika amefukuzwa kutoka kwenye mashindano ya kimataifa baada ya kupatikana akitumia simu ilikumshinda mpinzani wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MREMBO ANASWA AKIIBA SUPERMARKET

Imelda mtema Ni aibu 100%! Mrembo mkali aliyetambuliwa kwa jina moja la Winifrida, amekumbwa na fedheha ya aina yake baada ya kunaswa akiiba pafyumu kwenye supermarket ikidaiwa kuwa tabia hiyo kwa sasa imeshamiri jijini Dar kwa mabinti walio wengi. Mrembo huyo akidhibitiwa. Tukio hilo la aibu ya kupitiliza lililonaswa na gazeti hili lilijiri wikiendi iliyopita ndani Supermarket ya TSN iliyopo maeno ya Bamaga-Mwenge jijini...

 

11 years ago

GPL

ABAMBWA AKIIBA KANISANI, AGEUZWA BUCHA!

Stori: Nyemo Chilongani na Deogratius Mongela
KIOJA! Kijana anayejulikana kwa jina moja la Emmanuel (30), amejikuta akipokea kipigo ‘hevi’ baada ya kukamatwa akiiba katika Chuo cha Theofilo Kisanji ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dar. Emmanuel baada ya kupokea kichapo cha nguvu kutoka kwa wanachuo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni kanisani hapo, mchana kweupe...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

10 years ago

GPL

ANASWA AKIIBA MAHINDI, ALAZIMISHWA KULA MABICHI!

Akilazimishwa kula maindi hayo. HAMIDA HASSAN Jamaa ambaye jina halikuweza kupatikana mara moja, amejikuta akionja joto ya jiwe baada ya kudaiwa kukutwa akiiba kwenye shamba la mahindi hivyo kulazimishwa kula mahindi mabichi.Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni kwenye Kata ya Miembeni, Bukoba mkoani Kagera na kuibua gumzo kubwa. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, baada ya kumnasa kijana huyo akiiba mahindi aliyoyajaza kwenye...

 

10 years ago

GPL

STARA THOMAS AFUMANIWA!

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Risasi
HAYA ni madai mazito! Kwamba, staa wa Bongo Fleva ambaye juzikazti alinusa kwenye gospo ‘ikamshinda', Stara Thomas anadaiwa kufumaniwa na mumewe, Raumu Ally mpaka kufikishana polisi, Risasi Jumamosi halipitwagi na ‘ubuyu’. Staa wa Bongo Fleva, Stara Thomas akiwa na mumewe. Kwa mujibu wa shuhuda wa kuaminika, tukio hili lilijiri hivi karibuni nyumbani kwa...

 

9 years ago

GPL

AFUMANIWA, AJITOSA BAHARINI

Chande abdallah na issa mnally AIBU! Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Zuhura maarufu kama Lolo Princessa ambaye ni mpenzi wa kijana anayejulikana kama Koko Byanco juzikati alijikuta akipata aibu kubwa baada ya kufumaniwa akiwa na mwanaume mwingine kiasi cha kusababisha mchepuko huo kujitosa baharini katika ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam kukwepa kipigo. Soma zaidi===>http://bit.ly/1GaLPk2 ...

 

11 years ago

GPL

DUH! MZUNGU AFUMANIWA

Na Waandishi Wetu
NI kweli duniani kuna mambo na mambo yenyewe hufanywa na binadamu! Mzungu mmoja ambaye jina lake halikupatikana, amejikuta mikononi mwa polisi kufuatia kunaswa gesti akiwa na denti, OFM wa Ijumaa walikuwepo. Mzungu baada ya kunaswa na OFM akiwa na denti gesti. Tukio hilo la aina yake kwa mwaka 2014, lilitokea saa saba usiku wa kuamkia juzi katika gesti hiyo iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam. DENTI AKWEPA...

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

10 years ago

GPL

AFUMANIWA AJIPIGA FAINI MIL. 3

Mwandishi Wetu
WE acha tu! Hii ni habari ya kushangaza sana ambayo ilinaswa na paparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers juzikati ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ally Mwamwanza ambaye ni afisa katika kitengo cha ‘makontena’ bandarini Dar, kudaiwa kunaswa na mke wa jirani yake, Gibson Mtinge aliyetajwa kwa jina moja la Khadija. Licha ya wote wawili kuishi Mbezi ya Kimara,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani