MCHEZO WA FAINALI MPIRA WA MIGUU W/MJINI &W/MAGHARIBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HxILbu1rUoA/ViPIFcKrdoI/AAAAAAAIAv8/6lBW10MJtxM/s72-c/DSC_2887.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akimkabidhi kombe la Mchezo wa fainali ya Zanzibar Cup 2015 Mpira wa Miguu Nahodha wa Timu ya Wilaya ya Mjini Abubakar Ameir Omar uliochezwa katika uwanja wa Amaan Studiuam Mjini Unguja jana,Mchezo huo ulimalizika kwa Wilaya ya Mjini kuwafunga W/Magharibi kwa matuta 3-1.[Picha na Ikulu.]
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rxfVStXYWos/VKIsFAFqUlI/AAAAAAADTX8/YytvDQZ_MSA/s72-c/soccer.jpg)
KADI NYEUPE HIYO INAKUJA KWENYE MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-rxfVStXYWos/VKIsFAFqUlI/AAAAAAADTX8/YytvDQZ_MSA/s1600/soccer.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI JEZI ZA MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8V541jyWAKM/VRBLF4dbLPI/AAAAAAAHMj8/AT4gZ9e7f6g/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
VIONGOZI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MANISPAA YA LINDI MJINI WAPEWA ELIMU YA CHF
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V541jyWAKM/VRBLF4dbLPI/AAAAAAAHMj8/AT4gZ9e7f6g/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]
The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
ZIFAHAMU SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU .
![](https://1.bp.blogspot.com/-i6iC-vk7P0k/XlirhPZfSlI/AAAAAAALfyo/0QndpD2pekcyMLlnT7xo_MTpTAfmJ07lgCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
1. UWANJA
Kwa kawaida uwanja wa mpira Wa miguu huwa na Urefu Wa mita 100 – 120 na Upana Wa mita 50 – 60 . Kwa kawaida Uwanja Wa mpira Wa miguu Una alama za mistari ambazo ni pamoja na
– Mstari mrefu pembeni mwa Uwanja Unaoashiria mwisho Wa Uwanja .
– Mstari mrefu Wa Katikati Unaogawa Uwanja katika pande 2 Zilizolingana .katikati ya Uwanja kuna mduara wenye nusu kipenyo cha mita 9.15.
– Mstari mrefu Upande Wa goli Unaoashiria mwisho Wa Uwanja upande Wa goli .
– Pia kuna nusu duara katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s72-c/IMG-20150701-WA0043.jpg)
DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wGuvLbd8znM/VZUp5v401uI/AAAAAAAAew0/Y1S7DQSN0oY/s640/IMG-20150701-WA0043.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4eI8gsI6n_U/VZUp5F8wukI/AAAAAAAAews/CT_h62_i9dI/s640/IMG-20150701-WA0037.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VYzoayewoxc/VZUp7RfX5dI/AAAAAAAAexc/g-Ofs3x7_nw/s640/IMG-20150701-WA0045.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s72-c/tff_LOGO16.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s320/tff_LOGO16.jpg)
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo...