Mchiriku wapagawisha uzinduzi E fm Manzese
LICHA ya muziki wa mchiriku kuonekana kama vile umepoteza mashabiki, lakini mwishoni mwa wiki ulibamba ipasavyo katika uzinduzi wa kituo kipya cha redio, E fm 93.7cha jijini Dar es Salaam....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Nov
Mc Koba aeleza sababu za kuamua kutumia mtindo wa mchiriku na mdundiko kwenye muziki wake

Aliyewahi kuwa muimbaji wa kundi la zamani la Watu Pori kutoka Morogoro, Mc Koba amesema ameamua kufanya mabadiliko kidogo katika style ya muziki wake ili kwenda sawa na matarajio ya wengi ambao hupenda kuona mabadiliko kutoka kwa wasanii ambao wako kwenye game kwa muda mrefu.
Akizungumza kupitia E Newz ya EATV, Koba ametoa sababu nyingine ya kuamua kufanya aina ya muziki wenye mchanganyiko wa mdundiko na mchiriku.
“Kwanini nimeamua kufanya mtindo huu aina ya mchanganyiko wa mdundiko na...
11 years ago
GPL
DIAMOND NA OMMY DIMPOZ WAPAGAWISHA UK
10 years ago
Michuzi08 Jun
Alikiba na Abdu Kiba wapagawisha DMV




11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Amigolas, Hega, Diouf wapagawisha Kibaha
WANAMUZIKI mahiri wa muziki wa dansi nchini, Hamis Kayumbu ‘Amigolas’, Rogart Hega ‘Caterpillar’ na Msafiri Said ‘Diouf’, mwishoni mwa wiki walifanya shoo ya aina yake wakati wa shindano la Redd’s...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Ney, Barnaba, Mdee wapagawisha ‘Airtel Switch On’
WASANII nyota wa muziki nchini ambao pia ni mabalozi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, kupitia huduma mpya ya ‘Airtel Switch On’, Ney wa Mitego, Vannessa Mdee na...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Malkia Kopa, Dogo Aslay wapagawisha Bibi Bomba
MSANII kinda wa muziki wa kizazi kipya, Dogo Aslay na Malikia wa Mipasho duniani, Khadija Kopa ‘Top In Town’ juzi walipagawisha katika hafla ya shindano la Bibi Bomba iliyofanyika ukumbi...
11 years ago
GPL
TOT, WAKALI WA HIP HOP WAPAGAWISHA MASHABIKI DARLIVE
10 years ago
GPL
MASAI WARRIORS WAPAGAWISHA WATOTO SIKUKUU YA IDD DAR LIVE
10 years ago
Michuzi25 Sep
CHRISTIAN BELLA, KADJANITO, MSAGA SUMU WAPAGAWISHA DAR LIVE



KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.