MCHONGO WA KAZI DMV
******KAZI **JOB OPPORTUNITY**KAZI******
1. IT/ TELEPHONE TECHNICIAN – PART TIME
Kwa Mtanzania yeyote ambaye amesomea IT na Networking na ambaye anaweza kufanya kazi za wiring, computer networking, virus removal and shughuli zinazoendana na hizo anaombwa kuwasiliana na VIJIMAMBO ili kuchukua part time job katika mojawapo ya ofisi za watanzania hapa DMV. Kazi hii inahitajika wikI ijayo kuanzia Dec 8, 2014.
2. HEALTHCARE WORKER ( HOURS PER DAY 6:00AM-8:00AM )
Uwe ni dada au mama unayejua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Sep
MCHONGO WA KAZI YA UDEREVA DMV
![](http://www.just4wheels.com/images/classes/atruck24.jpg)
MUST HAVE AT LEAST 2 YEARS CLASS A EXPERIENCE
READY TO BE OUT ON THE ROAD 2 WEEKS MINIMUM
CLEAN DOT,MVA AND BACKGROUND ...
CALL DAN 646 -961 -8010 OR EMAIL DWASIRA@GMAIL.COM
11 years ago
Michuzi22 Jul
9 years ago
Bongo525 Sep
Video: Young Boys — Mchongo
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Wewe Ni Binti Mrembo Na Unajiamini? Basi Chukua Mchongo Huu
![](http://api.ning.com/files/NpAlVAvTs3Pwhwv1q52kRCqZBNkwB-rnxWQ0nD3NlG3ZPoTK-AY9MSoaeO92v14pGWwLVEWZ5ukuRz7KbphCAfVXBXSjX0OG/ADDSWAHIL.jpg?width=750)
Kuna watu ambao wanavipaji vya hali ya juu katika uigizaji lakini umekuwa ukijiuliza utaonyesha vipi kipaji chako ikiwa ni pamoja na kupata kipato chako kitakachoweza kukufanya uishi na kufanya mambo yako kwa hali nzuri.
Utapata nafasi ya kujulikna na mastaa wengine ambao wao tayari wameshafanikiwa, utaonekana kupitia TV Show hii.
Lakini bado upo kwenye Dilema lakiji huu ndio mchongo wa kuchangamkia kwa sasa!! Swali ni moja tu.....
Wewe ni binti mrembo na unajitambua? Basi tunakuhitaji uwe...
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UvwL3Rs9NRk/VAnpx8TJ9mI/AAAAAAAAEVE/b48w150g9ko/s1600/logo%2Btanzania.jpg)
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aN7EqULMVg/VOA-w7tSj5I/AAAAAAAAGA8/TMIs4TSe4zE/s1600/14-1.jpg)
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...