MCHUNGAJI WA KANISA LA KISABATO KIGOMA MCH,WILBERT NFUBHUSA ATEMBELEA UBALOZI
Mchungaji wa kanisa la kisabato Wilbert Nfubhusa atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC.
Mch Wilbert Nfubhusa akiwa pamoja na ujumbe aliofuatana nao pamoja na Balozi Liberata Mulamula na afisa Swahiba Mndeme.
Mch Wilbert Nfubhusa akipokea zawadi ya vitabu kutoka kwa Mhe balozi Liberata Mulamula .
Mhe balozi Liberata Mulamula akipokea zawadi ya fulana kutoka kwa ndg,Shukrani Magoma kama ukumbusho wa uwepo wao.
Kuanzia kulia ni mkuu wa utawala Lily Munanka akifuatiwa na Shukrani Magoma...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i3ccetVZ0Ec/VO_RDNqe6dI/AAAAAAADa5g/ApUfyh9T4T4/s72-c/GWAJIMA-afungikishwa%2Bvirago%2Bkawe.jpg)
KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s72-c/download.jpg)
MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA IMEMUHUKUMU KIFUNGO CHA MAISHA JELA MCHUNGAJI WA KANISA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-si6PqY581wo/VidE0Fbo9SI/AAAAAAAIBcQ/e8kpMqqfxEY/s1600/download.jpg)
Pia, mahakama hiyo imetaka mchungaji huyo amlipe fidia ya Shilingi milioni 2 mlalamikaji ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbondole iliyoko Ukonga.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, Ngomai alianza kumbaka mtoto huyo akiwa na umri wa miaka kumi na moja, wakati huo akisoma darasa la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBufUvcBiRdEue3WDZhPxa6bLiOxD8TK9IL70iWTg9O0aACYMKi0DseWDFAPnwGaLnE-5h0wK2Ek4nFcFZQaoKnQ/sh1.jpg?width=650)
NAHODHA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s72-c/20150920_090324.jpg)
Mbaraka wa Askofu Mteule Mchungaji Kenan Salim Panja, Kanisa La Moravian Jimbo la Kusini mjini Tukuyu Leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s640/20150920_090324.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lC1tY4_0F-o/Vf6SmebWLII/AAAAAAAH6Pc/Fk5kR8OssfQ/s640/20150920_084121.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjpNfyecck8/Vf6Q9e9DHiI/AAAAAAAH6PI/WjCo9czJucU/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Picha na Mpeli Nsekela
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dkt. Bilal ahudhuria sherehe ya kuwekwa wakhfu Askofu mteule wa kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji Bunango
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo, Oktoba 19, 2014, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuwekwa Wakhfu Askofu Mteule wa Kanisa la African Inland Dayosisi ya Mwanza, Mchungaji John Bunango, iliyofanyika jijini humo leo mchana.(Picha na OMR).
Maaskofu wakimwekea mikono ya Baraka Askofu mwenzao, Askofu Mteule wa Kanisa la African...
10 years ago
VijimamboBALOZI MPYA WA ANGOLA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7pNmXgu36sQ/U_xOO1LO9jI/AAAAAAAGCeg/iL48VlBEXi0/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
DR. THOMAS KASHILILAH ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s72-c/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)
Mhe Makalla atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC marekani leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s1600/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)