Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee amlipua Tibaijuka

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), amemlipua Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kwamba anamiliki maelfu ya ekari za ardhi katika maeneo mbalimbali nchini. Mdee...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mdee amvuruga Tibaijuka

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka jana alijikuta katika wakati mgumu wakati alipokuwa waziri wa kwanza kuhusishwa na tuhuma za ufisadi wa kutumia vibaya madaraka yake na lawama lukuki kuhusu kasoro za kiutendaji katika wizara anayoiongoza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mdee amfuata Tibaijuka Muleba

MIEZI michache baada ya mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), kumlipua bungeni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, akidai anamiliki maelfu ya ekari za ardhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee amtaka Prof. Tibaijuka ajiuzulu

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametakiwa kujiuzulu kutokana na kuonyesha kupwaya katika nafasi yake na kushindwa kutatua mgogoro wa ardhi wa shamba la Kapunga,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi

Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee amemshukia Waziri wa wizara hiyo, Profesa Anna Tibaijuka kwa kushindwa kutatua mgogoro wa shamba la Kapunga mkoani Mbeya na badala yake ameukuza.

 

10 years ago

Vijimambo

Escrow Yaendelea Kumtesa Tibaijuka..Amshambulia Halima Mdee, Adai Anatumiwa na Wabaya Wake Kumchafua


Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.Profesa Tibaijuka alitoa shutuma hizo wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Bureza. Alisema alikumbwa na kashfa ya Escrow, kutokana na kupata fedha kutoka kwa kaka yake Rugemalila (James) alizompa kusaidia shule anayoisimamia.
Alikanusha tuhuma zilizotolewa na Mdee bungeni dhidi yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa amlipua JK

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kuzungumzia rasimu ya siri ya Katiba inayodaiwa kuandaliwa na Chama Cha Mapinduzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe amlipua JK

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemvaa Rais Jakaya Kikwete, akimtaka kuacha kutafuta huruma ya Watanzania juu ya suala la Katiba na badala yake atumie nafasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa amlipua Kinana

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amemshambulia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kwamba anashabikia mfumo wa serikali mbili ili anufaike...

 

10 years ago

GPL

LUNGI AMLIPUA MASOGANGE

Gladness Mallya na Hamida Hassan MSANII wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi Maulanga amemlipua Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ kwamba hajui kutumia umbo lake vizuri ndiyo maana amemtelekeza mwanaye.Akipiga stori na Ijumaa, Lungi alidai Masogange amemwacha mwanaye kwa shangazi yake huku malezi yake yakiwa duni wakati yeye akijiachia kimjini. Msanii wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani