Dk. Slaa amlipua Kinana
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amemshambulia Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kwamba anashabikia mfumo wa serikali mbili ili anufaike...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Dk. Slaa amlipua JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kuzungumzia rasimu ya siri ya Katiba inayodaiwa kuandaliwa na Chama Cha Mapinduzi...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Katibu CCM amlipua Dk Slaa
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mufindi, Miraji Mtaturu amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga kujua kiasi cha fedha anazolipwa Dk Willbrod Slaa kila mwezi ili waoanishe na harakati zake anazodai zinalenga kupinga ufisadi. Dk Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema); yupo wilayani Iringa akiongoza kampeni za kumnadi Grace Tendega anayegombea ubunge katika jimbo hilo kupitia chama hicho.
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kinana, Slaa kujadili rais anayetakiwa 2015
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Mbowe amlipua JK
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemvaa Rais Jakaya Kikwete, akimtaka kuacha kutafuta huruma ya Watanzania juu ya suala la Katiba na badala yake atumie nafasi...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Mkosamali amlipua Mangula
MBUNGE wa Muhambwe mkoani hapa, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), amemlipua Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula akidai kuwa ameondoka katika hoteli aliyofikia bila kulipa pango. Akihutubia mamia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQXTiQrZWBOB1Mo*rcMSrECBgTRrg9HMbhcHXZv3yWI-7Ev92cy8chnjhvfz2Ye*eTdlP6nuLSPs2LkYI20kwT*/88.jpg?width=650)
JOKATE AMLIPUA DIAMOND!
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Mgeja amlipua mkapa