Mdee: Nilikonda kwa fitina
MWENYEKITI mpya wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA-Taifa), Halima Mdee, ametema cheche wakati wa kuwashukuru wajumbe waliompa kura huku akibainisha kuwa alikonda kutokana na harakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Magufuli; umepatikana kwa mbinde iokoe CCM na fitina, mizengwe
KATIKA filamu ya Godfather III, kiongozi wa kundi la mafia, Don Michael Corleone, anaonekana anamwambia msaidizi wake Vicent Mancini, asiwachukie adui zake kwa sababu ‘inaathiri uwezo wa kuamua.’ Kama kuna somo ambalo tunaweza kujifunza kutoka Dodoma baada ya taifa kuishi kwa kimuhemuhe na kulazimika kukesha kwa siku mbili baadhi wakilala usingizi wa mang’amung’amu ili kujua kilichokuwa kikitokea katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni ukweli kwamba ‘wazee wa CCM’ ni wafuasi wazuri...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Jimbo la Mgogoni katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
TAARIFA KUHUSU KUSHIKILIWA KWA HALIMA MDEE NA MWENDELEZO WA MANYANYASO KWA WANACHADEMA
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mbinu za fitina hazitatupatia rais bora (3)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-PforJ-PVBmI/VQGvpveXjiI/AAAAAAAAB98/hdcfX6WtCM8/s72-c/1625.jpg)
Naibu Waziri alia kufanyiwa fitina
NA THEODOS MGOMBA, CHEMBA
RAFU katika majimbo ya uchaguzi zimeanza kuwaweka mawaziri na manaibu mawaziri roho juu, ambapo safari hii ni zamu ya Juma Nkamia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PforJ-PVBmI/VQGvpveXjiI/AAAAAAAAB98/hdcfX6WtCM8/s1600/1625.jpg)
Nkambia, ambaye ni Naibu Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo na Mbunge wa Chemba, amelia kufanyiwa mchezo mchafu mbele ya Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mjiro Juu, Nkamia alisema kuna watu wanatumia picha ya Rais Jakaya Kikwete na kudai amewatuma kuwania ubunge.
Alisema...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Fitina wataka urais CCM zapamba moto
UKIWA umebaki mwaka mmoja kabla ya kuanza mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), fitina na rafu miongoni mwa wanachama wanaotajwa kuwania nafasi hizo zimeanza...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Vee Money azungumzia fitina katika muziki
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Viongozi acheni fitina, leteni maendeleo-Kinana