Naibu Waziri alia kufanyiwa fitina
![](http://3.bp.blogspot.com/-PforJ-PVBmI/VQGvpveXjiI/AAAAAAAAB98/hdcfX6WtCM8/s72-c/1625.jpg)
NA THEODOS MGOMBA, CHEMBA
RAFU katika majimbo ya uchaguzi zimeanza kuwaweka mawaziri na manaibu mawaziri roho juu, ambapo safari hii ni zamu ya Juma Nkamia.
Nkambia, ambaye ni Naibu Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo na Mbunge wa Chemba, amelia kufanyiwa mchezo mchafu mbele ya Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mjiro Juu, Nkamia alisema kuna watu wanatumia picha ya Rais Jakaya Kikwete na kudai amewatuma kuwania ubunge.
Alisema...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWaziri na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wawasili rasmi Wizarani baada ya kuapishwa
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI KITWANGA, NAIBU WAZIRI WA USALAMA WA RAIA WA CHINA WASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
![mbo1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oIYd53vrEUKzCFVKvOWMbSeABlcmK-t_HCA8Rfpk0eKzRmyvfpbfO8F2Fh_2afeu6hJW2ANHUB-Jl-DEHeVVvXbufypP6O6rnEylkVTJT6xkPJuWIwws6g=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo1.jpg)
![mbo2](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Y9smUucEQZlElgdUsSNTDVmcQgAtrEpQ6V2Dl2ahDjGZXljJVPQI8U-bDwAPlWiyKghyemou5I4yuevSaS8P8yAurno2jEPXQJu9N6XkodxA_5zWbXieJw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/mbo2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akutana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nj9zPiy7qNs/Uu0kGBhTHxI/AAAAAAAFKHU/T1gx9tEuhQ8/s1600/unnamed+(65).jpg)
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI
![si11](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/7EOgov5lzekHFEcAKJnl1odDl8CKpm4pg1iDxobNoYWsX_CEBKOW3A8NiCqsrF9DEYc70IC2egDiCCvqxnQ_Yo0SeQ4xu6MONnBmpcbHpm9QYQdEJbHmIg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si11.jpg)
![si12](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/YUciI7KcFZwaM3AdoUadgO2SS6LWXWPEHmhCPxqTGZE8cTT3iSD6s3KrwyvIJ7SSYgLjqi8WAumqGKrXPpKsmY44m2c-y5WE_diSoWzB2c4w1C8Dr6Si6w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/si12.jpg)
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Waziri Makamba na Naibu Waziri Mpina Wakabidhiwa Ofisi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk. Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele . Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (WATU WENYE ULEMAVU) ATEMBELEA KITUO CHA NUNGE, KIGAMBONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
11 years ago
Habarileo21 Jun
Naibu Waziri 'amalizana' na Balozi
MGOGORO wa kidiplomasia kati ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Maselle na Balozi wa Uingereza Dianna Melrose, umemalizika kidiplomasia.
11 years ago
Habarileo01 Aug
Naibu Waziri ambana mkandarasi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.