Mechi ya Urusi na Montenegro yatibuka
Mechi ya kuwania kufuzu kwa kombe la mataifa bingwa Ulaya kati ya urusi na Montenegro ilisitishwa baada ya wachezaji kupigana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
NATO yaialika Montenegro kujiunga nayo
Shirika la kujihami la mataifa ya Ulaya NATO limealika Montenegro kujiunga nalo kama mwanachama wake wa 29.
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Sudan K:Mazungumzo yatibuka Ethiopia
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar watakutana Jumanne katika juhudi za kumaliza mzozo wa kisiasa ambao umekumba nchi hiyo kwa miezi sita.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Njama ya kumuuza mjamzito yatibuka
Watu 13 wamekamatwa kufuatia sakata ya biashara haramu ya binadamu ambapo nusura mwanamke mjamzito kuhadaiwa kutoa mimba baada ya mpango wa kumuoza kwa lazima kutibuka
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Njama ya ulanguzi wa masalia ya mtoto yatibuka
Polisi nchini Thailand wanasema kuwa wamarekani wawili wametoroka nchini humo baada ya jaribio lao la kutaka kutoweka na sehemu za mwili ikiwemo kichwa cha mtoto kutibuka.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Njama ya kuokoa Diendere yatibuka Burkina Faso
Takriban maafisa 20 wa kijeshi wamekamatwa nchini Burkina Faso baada ya serikali kutibua njama ya kumuachilia huru kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika mwezi Septemba.
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Idd-20April2015.jpg)
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania