Njama ya ulanguzi wa masalia ya mtoto yatibuka
Polisi nchini Thailand wanasema kuwa wamarekani wawili wametoroka nchini humo baada ya jaribio lao la kutaka kutoweka na sehemu za mwili ikiwemo kichwa cha mtoto kutibuka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Njama ya kumuuza mjamzito yatibuka
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Njama ya kuokoa Diendere yatibuka Burkina Faso
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Masalia TZ:Mshukiwa mmoja akamatwa
11 years ago
Habarileo27 Jan
Pinda atembelea masalia ya vurugu za gesi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametembelea makazi na ofisi zilizochomwa moto wakati wa vurugu za gesi mkoani Mtwara na kuelezewa baadhi ya sababu za vurugu hizo. Akielezea sababu hizo, Mkuu wa Wilaya Masasi, Farida Mgomi alisema moja ya sababu za vurugu katika Mji wa Masasi na vitongoji vyake, ni madai na uchochezi kwamba viongozi wa CCM katika wilaya, wameshindwa kuwajibika kwa wananchi.
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Mechi ya Urusi na Montenegro yatibuka
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Sudan K:Mazungumzo yatibuka Ethiopia
5 years ago
BBCSwahili22 May
Masalia ya mwili wa Augustin Bizimana, mshukiwa mkuu wa mauaji ya Rwanda yapatikana
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Idd-20April2015.jpg)
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...