Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATO yaialika Montenegro kujiunga nayo

Shirika la kujihami la mataifa ya Ulaya NATO limealika Montenegro kujiunga nalo kama mwanachama wake wa 29.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Chunguzeni makanisa kabla ya kujiunga nayo’

WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo nchini wameshauriwa kuyachunguza makanisa kabla ya kujiunga nayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi ya Urusi na Montenegro yatibuka

Mechi ya kuwania kufuzu kwa kombe la mataifa bingwa Ulaya kati ya urusi na Montenegro ilisitishwa baada ya wachezaji kupigana

 

9 years ago

Michuzi

MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO

  Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu kushoto akipokea risiti ya malipo mara baada ya kujiunga kuwa mwanachama wa mfuko wa afya ya Jamii (CHF) leo wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika kwenye Kata ya Potwe wilayani humo anayemkabidhi risiti hiyo ni Afisa Tabibu wa Zahanati ya Potwe wilayani humo Dr.Samweli Mudhihiri ambapo zaidi ya kaya 65 zenye wanachama 390 walihamasika na kujiunga papo hapo. PICHA ZOTE NA OSCAR ASSENGA,TANGA.  Picha namba moja ni  Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

TheCitizen

WILL: Has NATO lost its will as well as its muscle?

>Speaking on Aug. 29 — at a fundraiser, of course — Barack Obama applied to a platitude the varnish of smartphone sociology, producing this intellectual sunburst: “The truth of the matter is,  that the world has always been messy. In part, we’re just noticing now because of social media and our capacity to see in intimate detail the hardships that people are going through.” So, if 14th-century Europeans had had Facebook and Twitter, they would have noticed...

 

11 years ago

Es

NATO warship visits Dar


NATO warship visits Dar-es-Salaam
defenceWeb
NATO warship calls on Dar-Es-Salaam NATO's counter-piracy Operation Ocean Shield warship ITS Mimbelli has concluded a port visit to Dar-es-Salaam, Tanzania, designed to deepen ongoing co-operation with the Tanzanian Navy in an effort to eradicate ...

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yataka suluhu Macedonia

Viongozi wakuu wa NATO wametoa wito wa kuzuia ghasia zinazoendelea Macedonia kufuatia ghasia zilizozuka mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

BBCSwahili

NATO yaikinga kifua Uturuki

Jumuia ya kujihami ya nchi za magharibi NATO imesema inasimama pamoja na Uturuki baada ya kuitungua ndege ya kivita ya Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya NATO yawasili Kunduz

Kikosi maalum cha shirika la kujihami la muungano wa mataifa ya Magharibi NATO, kimefika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani