‘Chunguzeni makanisa kabla ya kujiunga nayo’
WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo nchini wameshauriwa kuyachunguza makanisa kabla ya kujiunga nayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
NATO yaialika Montenegro kujiunga nayo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fLUhyMdHjMg/U4TiJV4iOBI/AAAAAAAFljA/d98GN3ABlEA/s72-c/1.jpg)
Watanzania Wahimizwa Kujiunga na NHIF kabla ya kuugua
Rai hiyo imetolewa na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Ilala Bw. Christopher Mapunda wakati akiwasilisha mada katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima.
Amesema kuwa utafiti unaonesha watu wengi huanza harakati za kutaka kuwa na bima ya afya wakiwa na wagonjwa na wanapoona gharama za matibabu zinawalemea.
“Watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lE437y4e_SY/XlfGC43YGEI/AAAAAAAAHoE/o5lp0hhlGN4VUKbDBLGBfIzWy2VHHugXgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200227-WA0021.jpg)
RC HAPI: TAKUKURU CHUNGUZENI KAMPUNI YA MWENGA HYDRO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lE437y4e_SY/XlfGC43YGEI/AAAAAAAAHoE/o5lp0hhlGN4VUKbDBLGBfIzWy2VHHugXgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200227-WA0021.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi akitoa maagizo kwa TAKUKURU kuhusu kampuni ya Mwenga Hydro iliyopo katika wilaya ya Mufindi
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
MAMLAKA ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Iringa imeagizwa kuichunguza kampuni binafsi ya usambazaji wa Umeme ya Mwenga hydro power ya wilayani Mufindi kutokana na uwepo wa Taarifa za kutoza wananchi gharama zaidi ya Elfu 50 hadi 180 tofauti na bei elekezi ya shirilingi elfu 27 ili kuingiziwa Umeme.
Agizo hilo limtolewa na Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HuMMOERHkUs/VdggBAYS7vI/AAAAAAAHzDk/FDKhIEakwMg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Kidatu nayo kuzimwa
Na Mwandishi Wetu, Kidatu
SIKU moja baada ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kusimamisha uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Mtera, kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu kilichopo mkoani Morogoro kinategemewa kuzimwa wakati wowote baada ya kupungua kwa kina cha maji.
Bwawa la Kidatu linazalisha megawati 204 lakini hivi sasa baada ya kina cha maji kupungua linazalisha megawati 27.
Taarifa ya kuzimwa kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya Kidatu ilitolewa jana na Meneja wa kituo hicho, Mhandisi...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Hii nayo ni sanaa ya kimataifa
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Simba nayo yajipigia KMKM
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, wameendeleza machungu kwa mabingwa wa soka Zanzibar, maafande wa KMKM, baada ya kuwachapa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Kipigo hicho, kinakuja...