Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC HAPI: TAKUKURU CHUNGUZENI KAMPUNI YA MWENGA HYDRO.


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi akitoa maagizo kwa TAKUKURU kuhusu kampuni ya Mwenga Hydro iliyopo katika wilaya ya Mufindi


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

MAMLAKA ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Iringa imeagizwa kuichunguza kampuni binafsi ya usambazaji wa Umeme ya Mwenga hydro power ya wilayani Mufindi kutokana na uwepo wa Taarifa za kutoza wananchi gharama zaidi ya Elfu 50 hadi 180 tofauti na bei elekezi ya shirilingi elfu 27 ili kuingiziwa Umeme.

Agizo hilo limtolewa na Mkuu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU ICHUNGUZENI KAMPUNI INAYOCHUKUA MAPATO YA FAINI ZA MAROLI- RC MAKONDA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda (kushoto) akizungumza na watendaji wote wa Barabara katika ukumbi wa Anatoglo Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam,ampoa  Makonda aliitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuchungunguza Kampuni inayochukua  mapato ya faini  za Maroli na kulipa fedha zote ilizokusanya tangu mwaka juzi.  Meya wa Manispaa ya Ilala , Omary Kumbilamoto (kushoto) akizungumza na watendaji wote wa Barabara katika ukumbi wa Anatoglo Mnazi Mmoja leo...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU YAKAMILISHA UCHUNGUZI WA MAKUBALIANO YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KAMPUNI YA ROM SOLUTIONS KWA ASILIMIA 99.9

Na Yassir Simba, Michuzi Tv
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola na aliyekuwa Kamishina wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji Thobias Andengenye pamoja na watumishi wengine wa umma 15 wamekutwa  na tuhuma ya makosa, baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa (TAKUKURU) kukamilisha uchunguzi wa makubaliano ya Jeshi la Zima Moto na Uokoaji na kampuni ya ROM solution kupitia mkataba uliohusu upatikanaji wa mkopo wa Euro 408,416,288.16 ambazo ni sawa shilingi Trilioni...

 

10 years ago

Habarileo

‘Chunguzeni makanisa kabla ya kujiunga nayo’

WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo nchini wameshauriwa kuyachunguza makanisa kabla ya kujiunga nayo.

 

9 years ago

TheCitizen

We’re switching off all hydro-power plants: minister

The government said yesterday it will switch off all hydro-power plants because of falling water levels that have reduced electricity generation capacity by 80 per cent. Energy and minerals minister George Simbachawene said here yesterday that the government has no option but to take the unprecedented move, adding that present water levels are the worst since the country’s independence.

 

9 years ago

TheCitizen

TZ will continue relying on hydro-power sourcses, says ACT boss

 Expert say that Tanzania  needs small hydro-power plants to tap in the abundant water available as it diversified to other sources of energy such as solar, natural gas, and wind.

 

5 years ago

Michuzi

RC ALLY HAPI: KULIPA KODI NI FAHARI NA UZALENDO

Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha mfanyabiashara wa duka la vifaa vya ujenzi wa Manispaa ya Iringa kabla ya kumpatia elimu ya kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi Bi. Catherine Mwakilagala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akitoa elimu ya kodi kwa wauzaji wa duka la dawa muhimu wa Manispaa ya Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...

 

5 years ago

Michuzi

MARUFUKU KUOSHEA MAGARI ENEO LA NDIUKA.-RC HAPI


Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akiwa katika eneo la Ndiuka ambako ndio chanzo cha maji yanayotumiwa na wakazi wa manispaa ya Iringa kwa kiasi kikubwa yanazalishwa hapo.
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akieleza jambo kuhusiana na marufuku aliyoitoa

FREDY MGUNDA,IRINGA.


KUTOKANA na uchafunzi wa Vyanzo vya maji,Afya za wananchi wapatao laki 1.78 wanaoshi katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na pembezoni mwa mji ziko hatarini kukumbwa na magonjwa mbalimbali.

Hayo yamebainika...

 

10 years ago

Michuzi

Court hears a case against the Government of Uganda on a hydro power unit construction dispute

The East African Court of Justice First Instance Division, today heard a matter seeking the determination of the Court on a case challenging the Memorandum of Understanding (MoU) that was signed between the Republics of Uganda and China to construct Kaluma Hydro Power Unit 600MW in Uganda. 
The Applicant, Mr. Henry Kyarimpa represented by his Lawyer Mr. Mohamed Mbabazi asked the Court to find that the MoU signed by Uganda and China was an infringement of the provisions of the Treaty for the...

 

5 years ago

Michuzi

RC HAPI APOKEA MSAADA KUTOKA KWA QWIHAYA KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA

Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akikabidhiwa msaada wa kusiadia kujikinga na virusi vya corona na mkurugenzi wa kampuni hiyo Leonard Mahenda vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi.Moja ya vitu vilivyotolewa na mkurugenzi wa kampuni hiyo Leonard Mahenda kwa ajili ya kusaidia kupambana na maambukizi ya Corona mkoani Iringa
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
 Kampuni ya uzalizaji wa nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises imekabidhi msaada wa zaidi ya shilingi milioni kumi kwa mkuu wa mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani