RC ALLY HAPI: KULIPA KODI NI FAHARI NA UZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Lkkh-2jOHv0/Xk_R89STpEI/AAAAAAALerE/_Sqk2YKzegE7SdFEyTaeRWyVU1y_6hx3ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3AA-3-1024x682.jpg)
Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakikagua Cheti cha Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) cha mfanyabiashara wa duka la vifaa vya ujenzi wa Manispaa ya Iringa kabla ya kumpatia elimu ya kodi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea kufanyika mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi Bi. Catherine Mwakilagala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akitoa elimu ya kodi kwa wauzaji wa duka la dawa muhimu wa Manispaa ya Iringa wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iiTUTtyGFg0/XujKtPyQpWI/AAAAAAALuEE/niDtRJvqK-QmxWNZcpLFHZt3VwpiyTwyQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.33.47%2BPM.jpeg)
WALIOKWEPA KULIPA KODI WAHUKUMIWA KULIPA BILIONI 1.5 BAADA YA KUKILI KOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iiTUTtyGFg0/XujKtPyQpWI/AAAAAAALuEE/niDtRJvqK-QmxWNZcpLFHZt3VwpiyTwyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.33.47%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b0IFsGsOvuI/XujKtEkDneI/AAAAAAALuEA/AYeS1Bl60pI1fh74EGdM96oqIWFS5DA8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.34.09%2BPM.jpeg)
ALIYEKUWA Rais wa Kampuni ya Acacia, Deodatus Mwanyika na wenzake wamehukumiwa kulipa fidia ya Sh bilioni 1.5 baada ya kukiri mashitaka ya kukwepa kulipa kodi.
Pia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kulipa faini ya Sh milioni 1.5 1 ama kutumikia kifungo cha miezi minne gerezani iwapo watashindwa kulipa faini hiyo.
Mbali na Mwanyika washitakiwa wengine ni Meneja Uhusiano wa Mgodi wa Bulyanhulu, Alex Lugendo, Mkurugenzi mtendaji wa mgodi wa Pongea, North...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
9 years ago
Habarileo13 Dec
Walioshindwa kulipa kodi hadharani
MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yawasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi
9 years ago
MichuziWamiliki wa majengo wahimizwa kulipa kodi
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Serikali yasamehe wafanyabiashara kulipa kodi
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Wachimbaji wadogo kuanza kulipa kodi