RC HAPI APOKEA MSAADA KUTOKA KWA QWIHAYA KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://3.bp.blogspot.com/-NozSE6-KFQ4/XqsFD5PoZxI/AAAAAAAAH18/z16PKaqMFqEpAPgjBvBnj2VM705X72B3wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_142544.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akikabidhiwa msaada wa kusiadia kujikinga na virusi vya corona na mkurugenzi wa kampuni hiyo Leonard Mahenda vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi.
Moja ya vitu vilivyotolewa na mkurugenzi wa kampuni hiyo Leonard Mahenda kwa ajili ya kusaidia kupambana na maambukizi ya Corona mkoani Iringa
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Kampuni ya uzalizaji wa nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises imekabidhi msaada wa zaidi ya shilingi milioni kumi kwa mkuu wa mkoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3DDLNfZ4FIE/Xr-E9irVTFI/AAAAAAALqbo/TGgxZmlraCApvtwOl6ep1lrvUNZDivtDwCLcBGAsYHQ/s72-c/97dcc94a-538e-484e-abbb-f91eb432a7e8.jpg)
5 years ago
CCM BlogTANZANIA HAIJALEGALEGA KATIKA KUPAMBANA NA CORONA, YAPATA MSAADA WA DAWA KUTOKA MADAGASCAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo wakati akipokea msaada wa dawa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s72-c/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
UWASWATA kutoa msaada wa Sabuni kwa ajili ya kupambana na virusi vya Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZVWTB2gTcY/XqbnTgtH9TI/AAAAAAALoWs/o65WtXc8UFwB_Ekl_oIf8qTsmP0h42TjwCLcBGAsYHQ/s640/68dcd0fd-6956-48bc-a6f1-6ee3fe666517.jpg)
Sabuni hizo zitatolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye atatoa sabuni hizo kutokana na uhitaji wa hospitali.
Akizungumza na Michuzi TV Katibu wa Umoja huo Maria Lucas amesema kuwa hawawezi kuiachia serikali peke yake katika mapambano ya Virusi vya Corona.
Amesema Wana sabuni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
5 years ago
CCM Blog23 May
MAREKANI KUIPATIA TANZANIA BIL. 5.6 KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/Screenshot-2020-05-22-at-14.40.32-660x400.png)
11 years ago
Habarileo25 Dec
Pinda apokea msaada wa pikipiki 44 kutoka China
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1k12ktXXbhjdqbwIrIFnMCsI80gv8Av4rlKwiYYte7***9bVl6IlAqJHFDejWbq9s-2dlZZoJtUJ*yfoxxY52d/1crdb4.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO