Pinda apokea msaada wa pikipiki 44 kutoka China
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44 KUTOKA CHINA
Waziri mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China. Amekabidhiwa msaada huo leo mchana (Jumanne, Desemba 24, 2013) mbele ya viongozi wa wilaya ya Mlele katika hafla fupi iliyofanyika kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi na kushuhudiwa na wakazi wa kijiji hicho. Akizungumza na viongozi wa wilaya hiyo pamoja na wakazi...
5 years ago
Michuzi
KAMISHNA WA JESHI LA POLISI, CP SABAS APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KUTOKA KAMPUNI YA KINGLION


10 years ago
Michuzi
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China

11 years ago
MichuziMH. PINDA APOKEA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA SHULE YA MSINGI KAKAUNI,WILAYANI MLELE
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China
 Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amepokea meli mbili za kivita kutoka China kwa ajili ya Jeshi la Wanamaji (Navy), huku akiahidi kuongeza nyingine kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi.
5 years ago
Michuzi
RC HAPI APOKEA MSAADA KUTOKA KWA QWIHAYA KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA



NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Kampuni ya uzalizaji wa nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises imekabidhi msaada wa zaidi ya shilingi milioni kumi kwa mkuu wa mkoa...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini Jamhuri...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
5 years ago
Michuzi
NDIKILO APOKEA MSAADA WA SABUNI KUTOKA KEDS ZINAZOPELEKWA KITUO CHA MATIBABU YA COVID19 KIBAHA
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Mhandisi Evaristi Ndikilo amepokea msaada wa mifuko 40 ya sabuni kwa ajili ya kituo cha matibabu ya Wagojwa wa COVID 19 ambayo ni Hospitali ya Wilaya ya Kibaha Mjini.
Msaada huo umetolewa na kampuni ya KEDS Group Limited ,ikiwa ni jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali kuendelea kupambana na ugonjwa wa corona .
Akipokea Msaada huo ,Mhandisi Ndikilo aliishukuru Kampuni ya KEDS Group Limited na kusema kwani sabuni hizo zitatumika...
MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Mhandisi Evaristi Ndikilo amepokea msaada wa mifuko 40 ya sabuni kwa ajili ya kituo cha matibabu ya Wagojwa wa COVID 19 ambayo ni Hospitali ya Wilaya ya Kibaha Mjini.
Msaada huo umetolewa na kampuni ya KEDS Group Limited ,ikiwa ni jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali kuendelea kupambana na ugonjwa wa corona .
Akipokea Msaada huo ,Mhandisi Ndikilo aliishukuru Kampuni ya KEDS Group Limited na kusema kwani sabuni hizo zitatumika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
05-May-2025 in Tanzania