WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44 KUTOKA CHINA
![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXuOx0FCcpksC7QkGBSoXLZOvPBWRSlOwSsOKNO0ufbboIfx2Z0wac06-DgzjYyOnTQixJW3kV0r8P9VcZUx4biV/WaziriMkuuMizengoPinda_full.jpg)
Waziri mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China. Amekabidhiwa msaada huo leo mchana (Jumanne, Desemba 24, 2013) mbele ya viongozi wa wilaya ya Mlele katika hafla fupi iliyofanyika kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi na kushuhudiwa na wakazi wa kijiji hicho. Akizungumza na viongozi wa wilaya hiyo pamoja na wakazi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Dec
Pinda apokea msaada wa pikipiki 44 kutoka China
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s72-c/1-1AA-1-1024x682.jpg)
KAMISHNA WA JESHI LA POLISI, CP SABAS APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KUTOKA KAMPUNI YA KINGLION
![](https://1.bp.blogspot.com/-sG5QPHdk7n8/XkZ3gW01D0I/AAAAAAALdWE/Ow7X1CRsyaczW3-pVUS6qj3ZOld_F-SRACLcBGAsYHQ/s640/1-1AA-1-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-1AA-1-1024x682.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea ujumbe kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bvo4riHoSm8/Ve9WAAlYphI/AAAAAAAH3bk/DVBgoXw2ut8/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JDSSR96RTeE/Ve9WAf1-gAI/AAAAAAAH3bo/37Dc12TO6Ww/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA WAZIRI MKUU WA JAPAN PAMOJA NA SUDAN
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Kikwete apokea meli mbili za kivita kutoka China
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini Jamhuri...
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-NozSE6-KFQ4/XqsFD5PoZxI/AAAAAAAAH18/z16PKaqMFqEpAPgjBvBnj2VM705X72B3wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_142544.jpg)
RC HAPI APOKEA MSAADA KUTOKA KWA QWIHAYA KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://3.bp.blogspot.com/-NozSE6-KFQ4/XqsFD5PoZxI/AAAAAAAAH18/z16PKaqMFqEpAPgjBvBnj2VM705X72B3wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_142544.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-36BUOdGPK-A/XqsFIT00jnI/AAAAAAAAH2A/3avctdQx4vIb7u8To8vULTwdpgb1exzwQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_143035.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-dWN1bmx68JU/XqsFN39tcQI/AAAAAAAAH2E/LJBLJy3XOPY3zehqMoDp9mZH56_loOvEACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_143135.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Kampuni ya uzalizaji wa nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises imekabidhi msaada wa zaidi ya shilingi milioni kumi kwa mkuu wa mkoa...