SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAAKINGA KUTOKA CHINA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3DDLNfZ4FIE/Xr-E9irVTFI/AAAAAAALqbo/TGgxZmlraCApvtwOl6ep1lrvUNZDivtDwCLcBGAsYHQ/s72-c/97dcc94a-538e-484e-abbb-f91eb432a7e8.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7GwUaOKoKvs/Xr6aJ0QnzlI/AAAAAAALqWg/VTimD9DfHPwAD8SwWvDMtDYZoXaj4XWXQCLcBGAsYHQ/s72-c/97dcc94a-538e-484e-abbb-f91eb432a7e8.jpg)
Serikali yapokea vifaakinga vya shilingi milioni 700/- kutoka serikali ya China
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea msaada wa vifaa kinga vyenye thamani ya Yuan 2,150,00 sawa na shilingi 700,759,268 kutoka Serikali ya China.
Msaada huo umetoleowa leo katika Bohari ya Dawa (Medical Stores Department) na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Mabula Mchembe.
Prof. Mchembe amesema kwamba msaada huo umekuja wakati mzuri kwani utawasaidia watumishi wa afya katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona...
Msaada huo umetoleowa leo katika Bohari ya Dawa (Medical Stores Department) na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Mabula Mchembe.
Prof. Mchembe amesema kwamba msaada huo umekuja wakati mzuri kwani utawasaidia watumishi wa afya katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s640/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5bcf623c-97df-4ac1-b490-a1bb45ff58a7.jpg)
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikian...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15sDwXU2YsE/Xntad5iZ1XI/AAAAAAALk_k/3xBUGTNkS80E46noq7IM6LfAt5cUTHloQCLcBGAsYHQ/s72-c/1b60b15e-9ca5-4f63-a695-b921f9ac3ad6.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa...
Serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s72-c/8.jpg)
TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3b2HJc_pzU/VmAB1E7pMVI/AAAAAAAIJ7E/gXjIUTb1Cpg/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkNwhIt-cDw/VmAB83P42hI/AAAAAAAIJ7Y/3qSesLVbGHM/s640/10.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-NozSE6-KFQ4/XqsFD5PoZxI/AAAAAAAAH18/z16PKaqMFqEpAPgjBvBnj2VM705X72B3wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_142544.jpg)
RC HAPI APOKEA MSAADA KUTOKA KWA QWIHAYA KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://3.bp.blogspot.com/-NozSE6-KFQ4/XqsFD5PoZxI/AAAAAAAAH18/z16PKaqMFqEpAPgjBvBnj2VM705X72B3wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_142544.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-36BUOdGPK-A/XqsFIT00jnI/AAAAAAAAH2A/3avctdQx4vIb7u8To8vULTwdpgb1exzwQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_143035.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-dWN1bmx68JU/XqsFN39tcQI/AAAAAAAAH2E/LJBLJy3XOPY3zehqMoDp9mZH56_loOvEACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_143135.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Kampuni ya uzalizaji wa nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises imekabidhi msaada wa zaidi ya shilingi milioni kumi kwa mkuu wa mkoa...
5 years ago
CCM BlogTANZANIA HAIJALEGALEGA KATIKA KUPAMBANA NA CORONA, YAPATA MSAADA WA DAWA KUTOKA MADAGASCAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo wakati akipokea msaada wa dawa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Virusi vya corona: Je msaada wa Jack Ma Afrika una umuhimu gani katika kupambana na janga la corona?
Huku mlipuko wa virusi vya corona ukiendelea kuathiri sekta zote duniani mataifa mengi yameshindwa kupata jibu la kukabiliana na janga hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania