Watanzania Wahimizwa Kujiunga na NHIF kabla ya kuugua
![](http://1.bp.blogspot.com/-fLUhyMdHjMg/U4TiJV4iOBI/AAAAAAAFljA/d98GN3ABlEA/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kabla ya kuugua ili kuepukana na usumbufu mkubwa ambao umekuwa ukijitokeza.
Rai hiyo imetolewa na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Ilala Bw. Christopher Mapunda wakati akiwasilisha mada katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima.
Amesema kuwa utafiti unaonesha watu wengi huanza harakati za kutaka kuwa na bima ya afya wakiwa na wagonjwa na wanapoona gharama za matibabu zinawalemea.
“Watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Kagera wahimizwa kujiunga NSSF
WANANCHI mkoani Kagera, wametakiwa kujiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili waweze kupata mafao bora ikiwemo bima ya afya bure kwa familia. Wito huo ulitolewa mjini...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Wananchi wahimizwa kujiunga mifuko ya jamii
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, amewataka wanachama wapya kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu muda si...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Waelimishwa kujiunga na NHIF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa mafunzo kwa madereva 75 wa pikipiki za biashara (bodaboda) mkoani hapa, juu ya namna ya kujiunga na mfuko huo.
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wazanzibari washauriwa kujiunga NHIF
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee, amewashauri wakazi wa Zanzibar kujiunga na mfuko huo ili kuwa na uhakika wa matibabu. Mdee alisema...
11 years ago
Habarileo06 Jan
Wakazi wa Zanzibar washauriwa kujiunga na NHIF
WAKAZI wa Zanzibar wameshauriwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wawe na uhakika wa kupata matibabu wakati wote.
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/112.jpg?width=650)
KAMPENI YA SIKU 60 YA KUJIUNGA NA MFUKO WA NHIF
10 years ago
MichuziWANANCHI WA MTWARA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU HURIA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake