WANANCHI WA MTWARA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU HURIA TANZANIA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Hawa GHASIA akiwahutubia Viongozi wa mkoa wa Mtwara pamoja na wananchi wa mkoa wa Mtwara walio shiriki katika uzinduzi wa majengo ya tawi la Chuo kikuu huria Tanzania kushoto kwa waziri ni Makamu wa chuo kikuu huria Tanzania Profesa Tolly Mbwete kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego Waziri Hawa Ghasia alimuakilisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika uzinduzi wa majengo ya tawi la chuo kikuu huria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NlwzCpL50-Q/VHt6rS4xlEI/AAAAAAAG0aM/c_z8YcAH5G0/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Mahfali ya 26 ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania yafana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania { CKHT } katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na shughuli zao za kazi,ajira binafsi au kifamilia kama kawaida. Alisema wakati chuo hicho cha umma kinapotoa nafasi nzuri zaidi kwa Watanzania kupanua wigo wao wa elimu ya juu ni vizuri kwa wananchi kuitumia nafasi hiyo mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PitegS6w8tU/VH9AWkVBbOI/AAAAAAAG1Do/AGBzYfeMykk/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
wapiganaji walamba nondozzz Chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT)
11 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA KUINGIA USHIRIKIANO RASMI NA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wasichana 22 waliokuwa katika mazingira magumu wahitimu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno fupi kwa niaba ya wahitimu wa mafunzo hayo katika chuo Kikuu Huria cha Tanzania, jijini Dar es salaam
Na erasto Ching’oro
Wasichana 22 kutoka mazingira hatarishi wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, ususi wa nywele na urembo katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s72-c/bb.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15
![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s640/bb.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s72-c/752.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi awahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s1600/752.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x5T9Lo-Az6M/VHs-M-gOSMI/AAAAAAAG0V4/8npH6P5ZkGI/s1600/770.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s72-c/unnamed+(7).jpg)
MAHAFALI YA 11 CHUO KIKUU HURIA MANYARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EiyO6kmhsMw/U3CYb-En2sI/AAAAAAAFhDk/HxiHtKtPrpY/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjs2UcRz80g/U3CYd5ToY6I/AAAAAAAFhD0/ufjM6PH4O78/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iZ26uMvk6Vk/U3CYdrBqPrI/AAAAAAAFhDw/_L5UplVjqYo/s1600/unnamed+(10).jpg)