Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagera wahimizwa kujiunga NSSF

WANANCHI mkoani Kagera, wametakiwa kujiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili waweze kupata mafao bora ikiwemo bima ya afya bure kwa familia. Wito huo ulitolewa mjini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahimizwa kujiunga mifuko ya jamii

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka, amewataka wanachama wapya  kujiunga kwa wingi kwenye mifuko hiyo kwa sababu  muda si...

 

11 years ago

Michuzi

Watanzania Wahimizwa Kujiunga na NHIF kabla ya kuugua

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kabla ya kuugua ili kuepukana na usumbufu mkubwa ambao umekuwa ukijitokeza.
Rai hiyo imetolewa na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Ilala Bw. Christopher Mapunda wakati akiwasilisha mada katika Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima.
Amesema kuwa utafiti unaonesha watu wengi huanza harakati za kutaka kuwa na bima ya afya wakiwa na wagonjwa na wanapoona gharama za matibabu zinawalemea.
“Watu...

 

11 years ago

Habarileo

Kagera wahimizwa daftari la wapiga kura

 Jaji Mkuu mstaafu Hamid Mahamoud TUME ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wakazi wa mkoa wa Kagera kujitokeza na kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi CBE washauriwa kujiunga NSSF

WANAFUNZI wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wameaswa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili wanufaike na mafao ya muda mrefu na mfupi yanayotolewa. Meneja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kabaka awataka wanahabari kujiunga NSSF

WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MTWARA WAHIMIZWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU HURIA TANZANIA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Hawa GHASIA akiwahutubia Viongozi wa mkoa wa Mtwara pamoja na wananchi wa mkoa wa Mtwara walio shiriki katika uzinduzi wa majengo ya tawi la Chuo kikuu huria Tanzania kushoto kwa waziri ni Makamu wa chuo kikuu huria Tanzania Profesa Tolly Mbwete kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego Waziri Hawa Ghasia alimuakilisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika uzinduzi wa majengo ya tawi la chuo kikuu huria...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YATOA WITO KWA WANACHAMA WA HIARI KUJIUNGA NA UANACHAMA

Na Francis Dande
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limewataka wafanyakazi wasio katika sekta isiyo rasmi kujiunga na NSSF ili kuboresha maisha yao ya sasa na baadae.
Akizungumza wakati wa Bonanza la Michezo kwa Makampuni, ambapo NSSF ilikuwa ni miongoni mwa wadhamini Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Said Malawi alisema kuwa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), imekuwa ikitoa elimu kwa wanachama wa kupitia huduma ya NSSF Mobile kwenye M-PESA.
Kwa kuwajali wanachama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani