Meet Bahati, the 2014 lucky winner of Mama Shujaa wa Chakula Award
It is widely believed in Africa that a person’s name determines their destiny. And this seems to be true for Bahati Muriga, 40, a resident of Ukerewe in Mwanza whose name Bahati, means good luck in Swahili.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA BI. BAHATI MURIGA AHUDHURIA TAFRIJA UBALOZINI
Bi. Bahati Muriga alifika Ubalozi wa Tanzania, Washington DC kuhudhuria tafrija iliyoandaliwa na Oxfam America. Bi. Muriga aliongelea maisha yake katika Mkoa wa Mwanza alipokuwa anafanya kazi kama Mkuu wa shule ya msingi, pamoja na hayo pia aliweza kuingia katika shughuli za kilimo akitafuta kipato ya kusomesha watoto wake wawili ili kuwapatia maisha bora. Ubalozi wa Tanzania Washington DC ulipata ugeni wa wasau kutoka mashirika mbalimbali waliokuja kuungana na Oxfam America inayoandaa...
9 years ago
MichuziMAMA SHUJAA WA CHAKULA BI. BAHATI MURIGA AHUDHURIA TAFRIJA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC
Ubalozi wa Tanzania Washington DC ulipata ugeni wa wasau kutoka mashirika mbalimbali waliokuja kuungana na Oxfam America inayoandaa Siku...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hR8BGW183EU/U3DdrfIn4cI/AAAAAAAAVYQ/WXvwGjTDTaY/s72-c/top20843ad.png)
NANI KUIBUKA NA MILIONI 20 KATIKA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014?
![](http://4.bp.blogspot.com/-hR8BGW183EU/U3DdrfIn4cI/AAAAAAAAVYQ/WXvwGjTDTaY/s1600/top20843ad.png)
Wafuatao ni washiriki wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ambao sasa wapo kijijini Maisha Plus wakiwania zawadi ya vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tzshs. Milioni 20.
MS 01: Elinuru M. Pallangyo - Arusha MS 02: Dorothy D. Pallangyo - Arusha MS 03: Leah D. Mnyambugwe - Dodoma MS 06: Martina G. Chitete - Iringa MS 08: Grace G. Mahumbuka - Kagera MS 10: Zinaida J. Kijeri - Kigoma MS 11: Upendo M. Msuya - Kilimanjaro MS 12: Neema U. Kivugo -...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s72-c/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg)
WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50
![](http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s1600/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qsYfQsfvtOI/U3msQdY-LII/AAAAAAAAVis/53Dg4yTmTGo/s1600/10363668_513706802084613_3389523174439884372_n.jpg)
11 years ago
Dewji Blog19 May
Hatimaye washindi wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula 2014 wapatikana na kuondoka na Milioni 50
Bahati Muriga mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2014 akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Tzshs. Milioni 25 aliyoshinda kwa ajili ya vifaa vya kilimo. Kutoka kulia ni Babu wa kijiji, Epheta Msiga wa DMB na Mkamiti Mgawe kutoka Oxfam.
Mshiriki Boniphace Meng’anyi Nyakena akipokea mfano wa hundi ya Tzshs. Milioni 25 alizoshinda katika msimu huu. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Oxfam Jane Foster, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kuyandabila, Babu...
11 years ago
MichuziHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA
11 years ago
GPL![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http://2.bp.blogspot.com/-sfbFuoB50Xc/U3msP5vTDwI/AAAAAAAAVio/X4AboTS2Di4/s1600/10268513_757703050918683_8268843824020390942_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime)
HATIMAYE WASHINDI WA MAISHA PLUS NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 WAPATIKANA NA KUONDOKA NA MILIONI 50.
11 years ago
GPLHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI ZAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA