Membe Amuaga Balozi wa Australia Nchini Tanzania aliyemaliza muda wake
Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juzi ameagana na Mhe.Geoffrey Tooth Balozi wa Australia nchini Tanzania ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao. Waziri Membe alimueleza Balozi Tooth kuwa wakati wa kipindi chake cha uwakilishi, uhusiano baina ya nchi hizi mbili umeimarika. Mhe. Membe pia amemshukuiru Balozi Tooth kwa ushirikiano mzuri alioutoa katika kipindi chote na kusisitiza kuwa Tanzania ni nyumbani kwake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA HISPANIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
Vijimambo18 Feb
RE: WAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA SAUDI ARABIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu amuaga rasmi Balozi wa Finland aliyemaliza muda wa kazi nchini
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AMUAGA BALOZI WA BRAZIL ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpokea na kumkaribisha Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Jassin Mohamed Mubarak Al-Darwish, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Novemba 5, 2014 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi wa nchini yake nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Qatar...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yJyXVeJHPkA/Vad3KlIu4oI/AAAAAAADyBc/dmQe4ykP9L8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA SWEDEN NCHINI TANZANIA ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-yJyXVeJHPkA/Vad3KlIu4oI/AAAAAAADyBc/dmQe4ykP9L8/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEbTdxURWjc/Vad3Ktw54cI/AAAAAAADyBg/Hk_gjrhj3rM/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ilMxc15LE-0/VFoSlhfCLyI/AAAAAAACSv4/kW0kdwkpzu4/s72-c/Balozi.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA QATAR ALIYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI TANZANIA, JASSIN MOHAMED MUBARAK AL-DARWIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilMxc15LE-0/VFoSlhfCLyI/AAAAAAACSv4/kW0kdwkpzu4/s1600/Balozi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8zCgTr1sj8/VFoSooHU4FI/AAAAAAACSwA/cAD6Ij3_HOE/s1600/Balozi2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s72-c/s1.jpg)
SIMBACHAWENE AMUAGA MPAMBE WAKE ALIYEMALIZA MUDA WAKE KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s1600/s1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO15na99VMw/XsQ6hToLEFI/AAAAAAALq2A/AuVYcDHme90zKRmJQ4n8AwjDoo-JsGKugCLcBGAsYHQ/s1600/s2.jpg)