Meneja, mwanafunzi UDSM kortini
MENEJA wa kituo cha mafuta cha Gudal Petrol Station cha Ubungo, Kibangu pamoja na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamepandishwa kizimbani kwa mashitaka mawili likiwamo la wizi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Mwanafunzi UDSM aliyejirusha ghorofani asimulia
Hadia Khamis na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega.
Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block A kushika moto huku wanafunzi wakiwa vyumbani wakiendelea na shughuli zao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cecilia ambaye ni...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mwanafunzi UDSM auawa kwa risasi
Mwanafunzi wa UDSM, Mutaengerwa Mafwiri enzi za uhai wake.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mutaengerwa Mafwiri ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi jana usiku eneo la Msewe jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na www.globalpublishers.co.tz kwa njia ya simu, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camillus Wambura amekiri kutokea kwa tukio hilo.
Kwa mujibu wa Kamanda Wambura tukio hilo lilitokea jana usiku majira ya saa mbili...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Mwanafunzi UDSM akutwa amekufa chumbani kwake
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti jijini Dares Salaam akiwemo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Sekabenga Mwakimenya (22) kukutwa amekufa chumbani kwake. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
9 years ago
TheCitizen13 Nov
UDSM lunches new institutes
10 years ago
TheCitizen28 Apr
UDSM ranks at the top, but what does this mean?
10 years ago
TheCitizen05 Jun
Monkeys cause panic at UDSM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt76E1Mv3BQ2FCXtF7VpvnlETFyMd6edXk-8MZvUUvjh2raCQ4cITMzWUpMjrBud*KLpoS0YTWoceHwFM5xk3GOx/IMG_4198.jpg)
MENEJA: KAJALA AMEPONA
11 years ago
Daily News23 May
UDSM to introduce innovation, development course
Daily News
THE University of Dar es Salaam (UDSM) will in the upcoming academic year, introduce postgraduate training in Innovation and Development, to be offered at its College of Engineering and Technology (CoET) in a bid to provide solutions to social problems.