Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meneja, mwanafunzi UDSM kortini

MENEJA wa kituo cha mafuta cha Gudal Petrol Station cha Ubungo, Kibangu pamoja na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamepandishwa kizimbani kwa mashitaka mawili likiwamo la wizi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi UDSM aliyejirusha ghorofani asimulia

Pg 1Hadia Khamis na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega.
Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block A kushika moto huku wanafunzi wakiwa vyumbani wakiendelea na shughuli zao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cecilia ambaye ni...

 

9 years ago

Global Publishers

Mwanafunzi UDSM auawa kwa risasi

mwanafunzi

Mwanafunzi wa UDSM, Mutaengerwa Mafwiri enzi za uhai wake.

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mutaengerwa Mafwiri ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi jana usiku eneo la Msewe jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na www.globalpublishers.co.tz kwa njia ya simu, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camillus Wambura amekiri kutokea kwa tukio hilo.

bunduki

Kwa mujibu wa Kamanda Wambura tukio hilo lilitokea jana usiku majira ya saa mbili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi UDSM akutwa amekufa chumbani kwake

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti jijini Dares Salaam akiwemo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Sekabenga Mwakimenya (22) kukutwa amekufa chumbani kwake. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

9 years ago

TheCitizen

UDSM lunches new institutes

  The University of Dar es Salaam (UDSM) will next week officially inaugurate two Institutions which will help improve the agricultural sector and increase the number of medical doctors in public hospitals

 

10 years ago

TheCitizen

UDSM ranks at the top, but what does this mean?

>There are four or five university ranking systems that take a global approach.  They are QS “World University Ranking,” Times Higher Education World University Ranking and Academic Ranking of World Universities.

 

10 years ago

TheCitizen

Monkeys cause panic at UDSM

>Tension has engulfed members of the community of the University of Dar es Salaam (UDSM) following reported cases of attacks by monkeys on some people at the campus.

 

10 years ago

GPL

MENEJA: KAJALA AMEPONA

Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Gladness Mallya
MIEZI michache baada ya Kajala Masanja kugundulika kuwa na ugonjwa wa uvimbe kwenye kizazi, meneja wa msanii huyo, Leah Richard amesema hivi sasa yupo sawa kufuatia upasuaji wa mafanikio aliofanyiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. “Kajala kwa sasa yupo fiti na tatizo la uzazi limeisha, hivyo mashabiki wake wasiwe na wasiwasi kabisa kwani atarejea kazini...

 

11 years ago

Daily News

UDSM to introduce innovation, development course


UDSM to introduce innovation, development course
Daily News
THE University of Dar es Salaam (UDSM) will in the upcoming academic year, introduce postgraduate training in Innovation and Development, to be offered at its College of Engineering and Technology (CoET) in a bid to provide solutions to social problems.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani