MENEJA: KAJALA AMEPONA
![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt76E1Mv3BQ2FCXtF7VpvnlETFyMd6edXk-8MZvUUvjh2raCQ4cITMzWUpMjrBud*KLpoS0YTWoceHwFM5xk3GOx/IMG_4198.jpg)
Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Gladness Mallya MIEZI michache baada ya Kajala Masanja kugundulika kuwa na ugonjwa wa uvimbe kwenye kizazi, meneja wa msanii huyo, Leah Richard amesema hivi sasa yupo sawa kufuatia upasuaji wa mafanikio aliofanyiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. “Kajala kwa sasa yupo fiti na tatizo la uzazi limeisha, hivyo mashabiki wake wasiwe na wasiwasi kabisa kwani atarejea kazini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Rais Kikwete asema amepona Saratani
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema 'amepona corona'
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtLVyPGzNTLznFSEKGiREQq4yYjq4Fk9a84DyPaX7yRClF7CvB4mAPjO3Ju4lp9m0*YpQUOFGREl4d8khcupq8z8/meneja.jpg)
Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Meneja atumbuliwa jipu gesti!
Akiwa haamini kilichotokea baada ya fumanizi hilo.
Stori: Na Waandishi Wetu, Pwani
SASA kinachoonekana ni tumbuatumbua majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ dhidi ya mafisadi imeenea kila kona ya nchi, mtu akiumbuliwa katika uovu wowote, wanasema ametumbiliwa jipu na ndivyo ilivyomtokea Salim ambaye ni meneja wa usimamizi wa mafuta kwenye ‘sheli’ zilizopo mkoani Pwani.
Hussein amejitambulisha kwa kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers kuwa yeye ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88AxlacpzagbU*UtSbBM-i-f*i2As-06drBxfdcwFUukJPukO10oKbDmad7mWtyUrA6tQkmHDAFOgwxBzOsJ1MCa5/rose.gif?width=650)
ROSE MUHANDO AMKIMBIA MENEJA