Meneja atumbuliwa jipu gesti!
Akiwa haamini kilichotokea baada ya fumanizi hilo.
Stori: Na Waandishi Wetu, Pwani
SASA kinachoonekana ni tumbuatumbua majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ dhidi ya mafisadi imeenea kila kona ya nchi, mtu akiumbuliwa katika uovu wowote, wanasema ametumbiliwa jipu na ndivyo ilivyomtokea Salim ambaye ni meneja wa usimamizi wa mafuta kwenye ‘sheli’ zilizopo mkoani Pwani.
Hussein amejitambulisha kwa kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers kuwa yeye ni...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJWh0QdBBecC1ZEw83YEwg-P1ZhSbReqM-2AKNGAPArarzP78pZ0IauK58oq1Tmb4q0jyhpFVkvVdw37MeBUxXL/mkewamtu.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Zitto apasua jipu
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hana chuki na yeyote ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Zitto, alisema baadhi ya watu wanafikiri ana chuki na viongozi wenzake...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ruge apasua jipu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJr0Ve0zj4axEBhaOKGQxkQ0iynZ33wNxypC1jpA5XiYWXPG5ArVzGyKpGkXOIKIdL9iSzHQN3UWf2Ir6LdIjqs/1.jpg)
MTOTO WA FLORA JIPU PWAA!
9 years ago
Habarileo05 Dec
Magufuli atumbua jipu TFF
KASI ya utendaji wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli imechukua sura mpya baada ya Mamlaka ya Kodi ya Mapato nchini (TRA) Mkoa wa Ilala kutia mguu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). TRA imezuia fedha kwenye akaunti zote za TFF ikiwa ni madai ya kulipwa kodi inayofikia Sh bilioni 1.6 kuanzia mwaka 2010 hadi 2013.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*TqL7itixtFtHzwNRIkgOXrJj128saaLBuzCcsulczOc*CdXztBa89hzrB*XdEuU09n5wr3s6qXz9WUn8roXh2/2.jpg?width=650)
MKE MTARAJIWA APASUA JIPU
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Lilian Internet apasua jipu
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Kizungumkuti kura ya maoni:AG kupasua jipu
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Frederick%20Werema-October16-2014.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, aliliambia NIPASHE jana kuwa ataweka bayana msimamo wa serikali leo ili kuzima mkanganyiko uliojitokeza kuhusiana na lini kura hiyo itapigwa.
Mkanganyiko huo unafuatia Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Balozi Seif apasua jipu kuhusu maendeleo
Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mabomba ya kusambazia maji safi Diwani ya Wadi ya Upenja Bibi Asha Abdulla Mussa kwa ya Kijiji cha kilombero Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alisema licha ya juhudi zinazochukuliwa na viongozi katika kuchangia nguvu za kukabiliana na matatizo mbali mbali yanayowakabili wananchi katika...