Mengi afanya mazungumzo na Balozi wa Malawi
NA FURAHA OMARY
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, amekutana na Balozi wa Malawi nchini, Hawa Ndilowe na kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali, yakiwemo ya kibiashara.
Dk. Mengi na Balozi Hawa walikutana jana, mjini Dar es Salaam, katika makao makuu ya kampuni za IPP.
Katika mazungumzo hayo, Balozi Hawa alisema Malawi iko tayari kuingia ubia na Tanzania kwa ajili ya masuala ya kibiashara.
Pia, alimweleza Dk. Mengi, kwamba wanaunga mkono juhudi zinazofanywa na sekta binafsi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mCQhkRf6EJw/Xk_1bc0fELI/AAAAAAALeu4/NB2PFmzHIcwMCR_sEwHkw47bLClx8yfBgCLcBGAsYHQ/s72-c/1d3adcfd-f4d8-42af-9748-a1d127256925.jpg)
BALOZI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mCQhkRf6EJw/Xk_1bc0fELI/AAAAAAALeu4/NB2PFmzHIcwMCR_sEwHkw47bLClx8yfBgCLcBGAsYHQ/s640/1d3adcfd-f4d8-42af-9748-a1d127256925.jpg)
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Balozi Mubarak Mohammed Alsehaijan akimuelezea jambo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge walipokutanakatika Ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, amekutana...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TAIFA LA ISRAEL KWA TANZANIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Taifa la Israel kwa Tanzania Mhe. Oded Joseph ambaye analiwakilisha Taifa hilo kutokea Nairobi, Kenya.
Kanali Balozi Ibuge katika mazungumzo hayo amweleza Balozi Oded, kuhusu hatua zinazoendelea kuchukuliwa na Serikali katika kukakabiliana na kusambaa kwa COVID-19 na madhara sambamba na madhara cake.Aidha, pamoja na mambo mengine Wawili hao katika...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA NCHINI KWA NJIA YA VIDEO
Pamoja na kujadili masuala mbalimbali ya mahusiano ya pande mbili (bilateral relations), viongozi hawa walizungumzia utayari wa Serikali wa nchi zote mbili katika kupambana na mgonjwa wa COVID-19. Sambamba na utayari huo, Katibu Mkuu alimfahamisha Balozi Wang...
9 years ago
VijimamboPINDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZmmYeKcZu64/XtFIOe6UjgI/AAAAAAALsA0/9QaDrRhuQiUJFw9MWkSJJgCFU8pn2AHZACLcBGAsYHQ/s640/aa1c150c-9ae3-4e47-8e5e-ad4653b9b17a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/11e0badb-52e6-494e-a2d2-2d0462575235.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d0a8-dI4zGo/Xkg8BZsCi6I/AAAAAAALdhM/EptWN6WoaNID_wrMb7HVMGW0859VliyAgCLcBGAsYHQ/s72-c/d90fd2da-9800-4ba0-ba86-d377297e900b.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI SEIF IDDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-d0a8-dI4zGo/Xkg8BZsCi6I/AAAAAAALdhM/EptWN6WoaNID_wrMb7HVMGW0859VliyAgCLcBGAsYHQ/s640/d90fd2da-9800-4ba0-ba86-d377297e900b.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi (wa pili kushoto) akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (kushoto) aliyefika ofisni kwake, Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha baada ya kuteuliwa hivi karibuni kushika nafasi hiyo. Wengine pichani ni Waziri wa Nchi Ofisi ya...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-7v6uJizpuHw/Vk8KrzQGliI/AAAAAAAArlU/a5qoi30rr-U/s72-c/3.jpg)
NAPE NNAUYE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NORWAY MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7v6uJizpuHw/Vk8KrzQGliI/AAAAAAAArlU/a5qoi30rr-U/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLqm_aPwmU8/Vk8KsZ0lViI/AAAAAAAArlY/1gMMrIxlYm0/s640/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nRQUvKGOX1I/Vk8KsUjWIiI/AAAAAAAArlc/GAR9Ve82Wpc/s640/9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s72-c/A-16-2048x1365.jpg)
Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Wang Ke. Mazungumzo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China ambapo nchi hizi zinaelekea kuadhimisha mika 55 tangu kusainiwa mktaba wa urafiki
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s640/A-16-2048x1365.jpg)