MENINAH:HATUENDANI NA DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkwS9wi0CixfiRvvXtScTnnZRozfJCZipkKMh1cHxIf4*weR6gISdIVYKeVVDoG4U0QNsKCG5ivWd5atFqQXseY/meninah.jpg)
Na Andrew Carlos STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Meninah Abdulkareem ‘Meninah’ amefunguka juu ya tetesi zinazoeneo kuwa na uhusiano wa chinichini na Nasib Abdul ‘Diamond’ kwa kusema kuwa siyo levo yake. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Meninah Abdulkareem ‘Meninah’ akiwa ndani ya studio za Global Tv Online. Akichonga na paparazi wetu, Meninah anayetamba na ngoma ya Pipi ya Kijiti alikanusha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s72-c/meninah.jpg)
Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s640/meninah.jpg)
11 years ago
Bongo513 Aug
Meninah: Diamond hata kumshika mkono sijawahi, akanusha tetesi za kutoka nae
Mara nyingi habari za mastaa hususan za mahusiano huanza kama tetesi, kisha hufuata hatua ya pili ambayo ni kukanusha, halafu baadae huja na majibu ya ‘mapenzi moto moto’. Narudia tena ‘mara nyingi’ japo si mara zote. Kuhusu tetesi za msanii wa kike wa Bongo fleva Meninah kuwa ni ‘mchepuko’ wa hit maker wa ‘Number 1’ […]
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s72-c/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
MENINAH AMWANIKA DIAMOND TENA!! AFUNGUKA MENGI KUHUSU MAHUSIANO YAO,AELEZA JINSI WEMA ALIVYO MPA PRESHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s640/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun1v8M7FutIr40l*e8NKyoZyH6j3bnIGIOtUnWlgzWqaU5g47ZrLPPfYjiBt4VsQS-oeXuBPTwR5nQcA4FFjTBuJ/Meninah.gif?width=650)
MENINAH AOLEWA KIMYAKIMYA
Musa Mateja WENYE wivu wajinyonge! Nyota wa muziki wa kizazi kipya, zao la BSS 2012 Meninah Abdulkarim, anadaiwa kufunga ndoa kimyakimya mwishoni mwa wiki iliyopita na mtu anayetajwa kulelewa tangu utotoni na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospeter Muhongo, Risasi Mchanganyiko limetonywa. Â ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1WDGS8h ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSyC6r8gDetBMjh6mu*oc*sz*amIThchvVqcVpfTVoP2Mte79Cn4xsFvEYBnq59GjO7udumUel4z2fkLFfR92yz/MENINA.jpg)
MENINAH AFUNGUKIA RUSHWA YA NGONO BSS
Kama kawaida, wiki iliyopita tulimleta kwenu staa wa Bongo Fleva, Meninah Abdukareem ‘Ladiva’ ambapo mlituma maswali yenu na leo haya ndiyo majibu yake, UNGANA NAYE... Staa wa Bongo Fleva, Meninah Abdukareem ‘Ladiva’ akiwa ndani ya ofisi za Global Publishers. RUSHWA YA NGONO BSS
Meninah kwanza nakupa big up kwa utulivu ulionao mpaka sasa, je, kwenye mchujo… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania