Mfuko wa kupambana na Ebola waanzishwa
Viongozi wa juu wa maswala ya biashara barani Afrika wamechangia operesheni ya kupambana na Ebola Afrika Magharibi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 May
Mfuko kuboresha makazi ya askari waanzishwa
MFUKO maalumu wa kukusanya fedha kwa ajili ya kuboresha makazi ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwemo askari, umeanzishwa ukilenga kuwezesha kupata nyumba na ofisi zaidi bila kutegemea bajeti ya serikali.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PUG71oqygmI/U6Q4D1cDRSI/AAAAAAAFr8A/XduyKBNfJ6E/s72-c/Picha+na+1.jpg)
MFUKO WA KUWASIDIA WAFANYABIASHARA WALIOATHIRIWA NA MOTO SOKO LA MCHIKICHINI WAANZISHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-PUG71oqygmI/U6Q4D1cDRSI/AAAAAAAFr8A/XduyKBNfJ6E/s1600/Picha+na+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hr5LtVVK4xc/U6Q4Ea_TgzI/AAAAAAAFr8E/JUMLsqn3lDw/s1600/Picha+na+3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO5eyXBizvm2xy*9LvRQNOIUqmhW85H7i4jMwX6HCwtOm3-etgklkFqXoufexaHuJUQsUOfDGrVfG1hBsemyUVoW/Pichana1.jpg?width=650)
MFUKO WA KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA WALIOATHIRIWA NA MOTO SOKO LA MCHIKICHINI WAANZISHWA
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye pia ni mkuu wa wilaya Ilala Bw. Raymond Mushi akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu kuanzishwa kwa mfuko wa kuwasaidia wafanyabiashara wa soko la Mchikichini walioathiriwa na janga la moto kwa lengo la kurejesha hali ya maisha waliyokuwa nayo hapo awali.…
11 years ago
MichuziMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
WHO yasaka mikakati kupambana na Ebola
Wataalamu wa maswala ya Afya ulimwenguni kutoka WHO wanakutana kujadili hatua mpya za kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Marekani kusaidia kupambana na Ebola
Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Jeshi la Marekani kupambana na Ebola
Rais wa Marekani Barack Obama amethibitisha kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba kupambana na wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Oxfam yatangaza Mradi kupambana na Ebola
Shirika la misaada Oxfam lasisitiza msaada wa mamilioni ya dola kusaidia nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na Ebola
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Bill Gates kusaidia kupambana na Ebola
Mfuko wa Bill na Melinda Gates kuchangia dola milioni 5.7 kupambana na Ebola
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania