Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgambia atemwa Simba SC

Kiungo mshambuliaji, Mgambia, Omar Mboob. Na Hans Mloli
UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na harakati za kutaka kumsajili kiungo mshambuliaji, Mgambia, Omar Mboob ambaye alikuwa anafanya majaribio ya wiki mbili na kikosi hicho kwa kile kinachosemekana kuwa uongozi wa timu hiyo kwa sasa hautaki kumuacha mchezaji yeyote. Mboob ambaye alitua nchini wiki iliyopita akitokea Semgar FC ya nchini Gambia, alifanikiwa kuitumikia timu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mgambia aahidi makubwa Simba

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Omary Mboom amesema kuwa hatofanya makosa iwapo atasajiliwa na badala yake atahakikisha anawapa raha wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kongwe nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha atemwa kwa ‘vijeba’

KOCHA wa timu ya Temeke inayoshiriki mashindano ya Airtel Rising Stars, Abel Mtweve amefutwa katika michuano hiyo baada ya kutumia wachezaji waliozidi umri kwenye mashindano hayo ya ngazi ya Taifa chini ya umri wa miaka 17 yanayofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Boban atemwa rasmi Coastal Union

Haruna Moshi ‘Boban’. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Coastal Union umesema hautamuongeza mkataba mshambuliaji Haruna Moshi ‘Boban’ kutokana na kuwa na utovu wa nidhamu.   Akizungumza na Championi Jumatatu, Makamu Mwenyekiti wa Coastal, Steven Mnguto, alisema mpaka sasa mshambuliaji huyo hajaripoti kambini kuanza mazoezi na wenzake na hajatoa taarifa yoyote. Alisema kwa tabia ambayo ameionyesha ni ngumu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Song atemwa katika kikosi cha Cameroon

Volke Finke ametaja kikosi cha Cameroon chenye wachezaji 24 kitakachoshiriki katika mechi za Afrika nchini Equitorial Guinea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani