Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgimwa azushiwa kifo, Kikwete apasua kichwa

WAKATI mawaziri wanne wameng’olewa na wengine walioitwa mizigo wanatarajiwa kutimuliwa wakati wowote, Rais Jakaya Kikwete yupo katika wakati mgumu wa kusaka warithi wa nafasi hizo, Tanzania Daima limebaini. Ugumu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA

Marehemu Dkt. William Mgimwa.…

 

10 years ago

GPL

KOCHA ABDALLAH KIBADEN AZUSHIWA KIFO

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Abdallah King Kibaden . Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Abdallah King Kibaden amezushiwa kifo katika mitandao ya kijamii. Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally akiongea na Mtandao huu muda huu amesema kuwa ameongea na Abdallah King Kibaden muda huu na ni mzima wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu kifo cha Mgimwa yatajwa

>Wakati mwili wa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa ukitarajiwa kuzikwa leo, Serikali imesema kilichosababisha  kifo chake ni ugonjwa wa figo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kifo cha Mgimwa pengo sekta ya fedha’

MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Biashara ya CRDB, Dk. Charles Kimei, amesema kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa, kimeacha pengo kwenye sekta ya fedha. Dk. Kimei alitoa...

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...

Na Mwandishi Wetu
WAKATI taifa likiwa katika msiba kufuatia kifo cha Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa, wananchi wameitaka serikali kueleza kwa nini kwa kipindi chote cha kuumwa kwake, ugonjwa uliomuua ulifanywa siri. Marehemu Dk. William Mgimwa. Waziri Mgimwa alifariki dunia Jumatano (juzi) saa 5:20 asubuhi kwa saa za Afrika Kusini (Tanzania saa 6:20) katika Hospitali ya Mediclinic Klooff jijini...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA WAOMBOLEZA KIFO CHA DKT WILLIAM MGIMWA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu Afrika Kusini. Kwa masikitiko makubwa CHADEMA kinatuma salaam za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na mtumishi mwenzake serikalini. Chama kinatoa...

 

11 years ago

IPPmedia

Kikwete, Mgimwa sworn in


IPPmedia
Kikwete, Mgimwa sworn in
IPPmedia
The newly elected Members of Parliament yesterday took oath of allegiance administered by National Assembly Speaker, Anne Makinda. Godfrey William Mgimwa (CCM) and Ridhiwani Jakaya Kikwete (CCM) were sworn-in on yesterday in the august house ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwl. Nyerere angewakemea Mgimwa, Kikwete

BAADA ya kuona matokeo ya kura za wagombea ubunge katika majimbo ya Chalinze na Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), nilijikuta nikimkumbuka hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Nilitamani...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA DKT WILLIAM MGIMWA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Dkt William Mgimwa viwanja vya Karimjee Hall jijini Dar es Salaam jana Januari 5, 2014. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma wakiaga mwili wa Dkt William Mgimwa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani