MGOMBEA URAIS WA UKAWA ATAMBULISHWA JIJINI MBEYA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NiesnL69Q3I/Vc4fBsQqrNI/AAAAAAAHw1c/vaVk1hbbShA/s72-c/MMGL1423.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini Mbeya leo Agosti 14, 2014. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la kutafuta wadhamini wa Tume na kutambulishwa kwa wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu"...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wabunge wa Ukawa kuchagua mgombea urais
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Wabunge Ukawa kuchagua mgombea urais
11 years ago
Tanzania Daima02 May
UKAWA: Mgombea urais mmoja 2015
HATIMAYE Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umeweka hadharani dhamira yake ya kutaka vyama vinavyounda umoja huo kumsimamisha mgombea mmoja kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Hatua hiyo ilitangazwa hadharani jana na...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ukawa kusimamisha mgombea urais 2015
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Mgombea urais Ukawa hadharani kesho
10 years ago
Habarileo05 Aug
Lowassa athibitishwa mgombea urais Ukawa
MKUTANO Mkuu wa Chadema umempitisha kwa kauli moja aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa chama hicho na baadaye ikaelezwa kuwa, ndiye atakayebeba jahazi la umoja wa vyama vinne vya upinzani vianvyounda Ukawa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s72-c/1.jpg)
YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO NA KUWAPITISHA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s2j9y6cMRs/VcDmuVyAntI/AAAAAAABTJs/Q9tBx8YnPZc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQ5QjY5JuuU/VcDmvLhtmkI/AAAAAAABTJo/tV8_6cFI0Lc/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7MfTLZMyfc/VcDmvlQz-uI/AAAAAAABTJw/Xa5dh71Clrc/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fooSDRJP62Q/VcDmwWYau6I/AAAAAAABTKE/iF5gS2bmcAs/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aHavGADOhMQ/VcDmw5ZF_rI/AAAAAAABTKA/h4zEKWFlCyc/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gK8BiSdGPZ4/VcDmxvzkSwI/AAAAAAABTKI/94nBfdXje7Y/s640/7.jpg)