Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea wa Chadema Moshi aendelea kung’ang’aniwa

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Isaac Kireti, amekata rufaa kwa Tume ya Uchaguzi (NEC) baada ya pingamizi alilokuwa amemuwekea mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Japhary Michael, kutupiliwa mbali na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Afrika inatarajia kunufaika vipi na 'kung'ang'aniwa' huko?

Viongozi wa bara Afrika wamekuwa wakihudhuria makongamano yaliyopewa maudhui maalum kuhusu Afrika, lakini je wana mpango wowote?

 

11 years ago

GPL

DIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE

Stori: Richard Bukos DUNIA ina mambo! Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ amezua timbwili baada ya kung’ang’aniwa na mwanamke mwenzake aliyedaiwa kutaka kumshawishi afanye naye mapenzi ya jinsi moja (usagaji). Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ Dida alikumbwa na ishu hiyo, Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar, wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Padri Mkatoliki ang’ang’aniwa kortini

KESI inayomkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa matunzo kwa mwanawe, juzi iliahirishwa tena kwa mara ya tatu baada ya mlalamikiwa kushindwa kufika mahakamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viwavijeshi ang’ang’aniwa Uganda

MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya ngoma za asili, Shaban Maganga ‘Viwavijeshi’ ameng’ang’aniwa nchini Uganda baada ya wenyeji wake kumzuia asirudi Tanzania mpaka amalize kucheza shoo alizopangiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliotimuliwa na Mwakyembe wang’ang’aniwa

SIKU moja baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kuwatimua wafanyakazi 13 kutoka wizara tatu tofauti, waliokuwa wakifanya kazi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), mawaziri...

 

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa ugaidi wang’ang’aniwa

>Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia maombi ya kutaka kuachiwa huru kwa watuhumiwa wanane wa ugaidi waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA AENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI

 Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Zanzibar, Said Issa Mohamed,z (wa pili kushoto) akiwa na kutoka kulia aliyekuwa mbunge viti maalum Chadema, Rose Kamili, mwenyekiti Bawacha mkoa wa Geita, Husna Amri na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM mkoani Dar es Salaam, John Guninita wakisali kumuombea dua aliyekuwa Mwenyekiti ya NLD, Emmanuel Makaidi wakati wa mkutano wa kampeni kati ofisi za Chadema Wilaya Hanang mkoa wa Manyara. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Zanzibar, Said Issa Mohamed akizungumza...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE

Red Brigade akiimarisha ulinzi katika iwanja ya Dkt Slaa mjini Moshi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael kupitia Chadema na Ukawa uliofanyika jana.Baadhi ya viongozi na wagombea wa nafasi za Udiwani Kupitia Chadema na Ukawa.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo(kushoto) akiteta jambo na  mgombea Ubunge katika jimbo hilo ,Jafary Michael kupitia Chadema na UKAWA wakati wa uzinduzi wa kampeni mjini MoshiUmati wa wakazi wa mji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani