Viwavijeshi ang’ang’aniwa Uganda
MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya ngoma za asili, Shaban Maganga ‘Viwavijeshi’ ameng’ang’aniwa nchini Uganda baada ya wenyeji wake kumzuia asirudi Tanzania mpaka amalize kucheza shoo alizopangiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Dec
Padri Mkatoliki ang’ang’aniwa kortini
KESI inayomkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa matunzo kwa mwanawe, juzi iliahirishwa tena kwa mara ya tatu baada ya mlalamikiwa kushindwa kufika mahakamani.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Watuhumiwa ugaidi wang’ang’aniwa
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Waliotimuliwa na Mwakyembe wang’ang’aniwa
SIKU moja baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kuwatimua wafanyakazi 13 kutoka wizara tatu tofauti, waliokuwa wakifanya kazi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), mawaziri...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Mgombea wa Chadema Moshi aendelea kung’ang’aniwa
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Isaac Kireti, amekata rufaa kwa Tume ya Uchaguzi (NEC) baada ya pingamizi alilokuwa amemuwekea mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Japhary Michael, kutupiliwa mbali na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo.
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Afrika inatarajia kunufaika vipi na 'kung'ang'aniwa' huko?
11 years ago
GPLDIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Meya Bukoba ang’ang’ania kiti
LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...