Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viwavijeshi ang’ang’aniwa Uganda

MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya ngoma za asili, Shaban Maganga ‘Viwavijeshi’ ameng’ang’aniwa nchini Uganda baada ya wenyeji wake kumzuia asirudi Tanzania mpaka amalize kucheza shoo alizopangiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Padri Mkatoliki ang’ang’aniwa kortini

KESI inayomkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa matunzo kwa mwanawe, juzi iliahirishwa tena kwa mara ya tatu baada ya mlalamikiwa kushindwa kufika mahakamani.

 

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa ugaidi wang’ang’aniwa

>Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia maombi ya kutaka kuachiwa huru kwa watuhumiwa wanane wa ugaidi waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliotimuliwa na Mwakyembe wang’ang’aniwa

SIKU moja baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kuwatimua wafanyakazi 13 kutoka wizara tatu tofauti, waliokuwa wakifanya kazi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), mawaziri...

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea wa Chadema Moshi aendelea kung’ang’aniwa

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Isaac Kireti, amekata rufaa kwa Tume ya Uchaguzi (NEC) baada ya pingamizi alilokuwa amemuwekea mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Japhary Michael, kutupiliwa mbali na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika inatarajia kunufaika vipi na 'kung'ang'aniwa' huko?

Viongozi wa bara Afrika wamekuwa wakihudhuria makongamano yaliyopewa maudhui maalum kuhusu Afrika, lakini je wana mpango wowote?

 

11 years ago

GPL

DIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE

Stori: Richard Bukos DUNIA ina mambo! Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ amezua timbwili baada ya kung’ang’aniwa na mwanamke mwenzake aliyedaiwa kutaka kumshawishi afanye naye mapenzi ya jinsi moja (usagaji). Prizenta wa Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ Dida alikumbwa na ishu hiyo, Alhamisi ya wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar, wakati...

 

9 years ago

Habarileo

Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke

 WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-

MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meya Bukoba ang’ang’ania kiti

LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani