MHE. CHIKU GALLAWA AMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI KWENYE MACHINJIO YA KISASA KIZOTA MKOANI DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifanya ziara ya ukaguzi kwenye machinjio ya Kisasa Kizota Mjini Dodoma Januari 9, 2015.
Muu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kushoto) akikaga vifaa vinavyotumika kwenye uchinjaji mifugo na uandaji wa nyama kwenye machinjio ya Kisasa Kizota Mjini Dodoma Januari 9, 2015.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akikagua utunzaji wa nyama kwenye chumba maalumu cha kutunzia nyama zinazosubiri kusafirishwa kwenye machinjio ya Kisasa Kizota Mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI SOKO LA WAMACHINGA LA REHEMA NCHIMBI COMPLEX MJINI DODOMA AGOSTI 12, 2015
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mKGY_qnHkyY/VioKzY3E0_I/AAAAAAAIB6g/PNpZOBLbHI0/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA YA MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA KUHUSU UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 25, 2015 MKOANI DODOMA
Mkoa wa DodomaAnwani ya Simu REGCOMSimu Nambari: 2324343/2324384E-Mail No. ras@dodoma.go.tzFax No. +255 026 2320046
![](http://4.bp.blogspot.com/-mKGY_qnHkyY/VioKzY3E0_I/AAAAAAAIB6g/PNpZOBLbHI0/s1600/New%2BPicture.png)
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, S.L.P. 914, DODOMA.
Ndugu wananchi wa Mkoa wa Dodoma, tarehe 25 Oktoba, 2015 ni siku ya Uchaguzi Mkuu hapa nchini; ambapo, Watanzania wale wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha, watapata...
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AKAGUA UJENZI WA MAABARA MANISPAA YA DODOMA
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AMUAPISHA MKUU MPYA WA WILAYA YA MPWAPWA MHE. ANTH0NY MAVUNDE
10 years ago
GPLMHE. CHIKU GALLAWA AZINDUA MSIMU WA KILIMO KWA MWAKA 2015 KATIKA MKOA WA DODOMA
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MKOA WA DODOMA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA DODOM MH.CHIKU GALLAWA AFANYA ZIARA KITUO CHA WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA - NFRA KANDA YA KATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZrtNHsNu0o/U93e57eKsuI/AAAAAAACmuU/_p6ovA6mu4A/s72-c/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Chiku Gallawa mgeni rasmi Handeni Kwetu Foundation
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZrtNHsNu0o/U93e57eKsuI/AAAAAAACmuU/_p6ovA6mu4A/s1600/55ebTanga-regional-commissioner-Chiku-Gallawa.jpg)
Tukio hilo la uzinduzi wa taasisi hiyo limepangwa kuanza saa 10 za jioni ambapo wamealikwa wageni mbalimbali kwa ajili ya kuitambulisha kabla ya kuanza kazi zake rasmi nchini Tanzania.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa taasisi hiyo, Kambi Mbwana,...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10